Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20221115_071347.jpg
 
🤣🤣🤣 hii mitaa ukiachana na kwamba haina nyumba za maana Ila pia hakuna lami kabisa 🤣🤣 ni uchafu kama kinga zilizovuliwa 👇View attachment 2416642View attachment 2416643View attachment 2416644🤣🤣🤣 Hapo ni posh eti 🤣🤣. Don YF. Njoo uchukue takataka zako huku
Unajua posh in Mombasa kweli kilaza? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 hizi ndio size ya uswazi zenu, mitaa ya raiya, posh in Mombasa ni akina Nyali, Kizingo, Tudor, etc.., sio Bamburi na Kiembeni., narudia jua Kenya na uzoee mapema, naona umepotea, Dar bado.., jivunie BRT, SGR ya umeme na CBD moja.., mengine fyata.,
Eastlands ya Mombasa..,
1668490856501.png

1668490884628.png
 
Unajua posh in Mombasa kweli kilaza? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 hizi ndio size ya uswazi zenu, mitaa ya raiya, posh in Mombasa ni akina Nyali, Kizingo, Tudor, etc.., sio Bamburi na Kiembeni., narudia jua Kenya na uzoee mapema, naona umepotea, Dar bado.., jivunie BRT, SGR ya umeme na CBD moja.., mengine fyata.,
View attachment 2417152
View attachment 2417154
mabanda ya kuku ayo toa apo
 
mabanda ya kuku ayo toa apo
Mitaa ya Dar ya kufananisha na hiyo iko kweli? mitaa ya kawaida? ni uswazi tupu.., Mombasa imeilambisha Dar sakafu kwa mengi tu.., Tanzania nchi ya jiji moja na CBD moja.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mitaa ya Dar ya kufananisha na hiyo iko kweli? mitaa ya kawaida? ni uswazi tupu.., Mombasa imeilambisha Dar sakafu kwa mengi tu.., Tanzania nchi ya jiji moja na CBD moja.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Akili yako ikapimwe
 
Soko la Eastleigh lingekua ndani ya Dar hapa pangetajwa kama city centre, yaani town..,ama CBD, hapa Kenya haijafika kuitwa CBD.., ni estate na soko tu..,

1668492203765.png

1668492253079.png

1668492266446.png

1668492290341.png

1668492301175.png

1668492311015.png

Mall kubwa inaelekea kukamilika in Eastleigh..,, Tanzania yote na East Africa hakuna such level.., kando na Two-Rivers.,
1668492432380.png

1668492456475.png
 
Back
Top Bottom