Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tag me the day any Tower in Tanzania will win international award.
There are 500+ buildings with over 30 floors in Hongkong, 400+ buildings in Shenzhen.. tuzo zikianza kutolewa huko hadi zikifika huku tutakua tumeshakufa 🤣🤣 so hizo tuzo si chochote mzee, kaa kwa kutulia.. majengo yenu ni mabaya hayana muonekano mizuri .
 
There are 500+ buildings with over 30 floors in Hongkong, 400+ buildings in Shenzhen.. tuzo zikianza kutolewa huko hadi zikifika huku tutakua tumeshakufa 🤣🤣 so hizo tuzo si chochote mzee, kaa kwa kutulia.. majengo yenu ni mabaya hayana muonekano mizuri .
Says a person who believes in Wikipedia 😂😂

images (4).jpeg
 
Uzuri wa jengo ni design. TPA is not even in the top 5 tallest buildings in East Africa.

1.Britam 201m
2. CEB 198m
3. GTC 184m
4. UAP 163m
5. Zemen 162m
🤣🤣🤣 Naona umekimbia, but guess what non of them buildings you've mentioned is of 40 floors .ni majengo yenye minara mirefu tu 🤣🤣.. only GTC
 
Ila inawezekana kwamba hawajavinja sheria wakiwa wanatoka huku. India wanasheria kali sana kuhusu dhahabu. Inawezekana walitoka hapa kihalali, walipofika doha wakavaa kwenye hizo vesti.

India mtu anaingiza dhahabu nyingi ni serikali tu!!
Soma tena ulichoandika afu jitafakar.
Tanzania sio kisiwa kwamba sheria za kimataifa zinazohusu kila nchi yeye isiwe nazo.. same way unasema inawezekana nikisafiri kutokea Tanzania na zaidi ya dollars 20,000 bila kutolea maelezo Tanzania, nikifika marekan nitakamatwa kwasababu sheria za marekan ni kali sana kuliko nilikotoka nazo Tanzania ambapo sheria zake ni rahis..
Tafakar na hii
 
Back
Top Bottom