Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha za uzinduzi, piga picha kwa mkono wako weka humu mnuka mavi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kalilie kwa choo mrogi.., zoea Kenya mapema usife kwa pressure, na bado!
1668428769344.png
 
Ujenzi wa nyumba ni scam na nkia ya kitakatisha pesa pia kuhamisha pesa.

China wanashida ya kiuchumi kwa sababu ya haya mataka taka.


South Africa kuna viwanda vimejengwa ktk Miji kama chato vina madeni na riba. Hakuna michezo ya maana ya kujaza watu tena baada ya world cup. Gharama ya ukarabati na kuendesha ni kubwa kuliko mapato achilia mbali riba na Mkopo.


Ndio ujinga wamefanya mifuko ya hifadhi Tanzania. Wamejenga kila mikoa eti usawa na kupendezesha Miji. Sasatalipa na mavi na bado yatachakaa na kuharibu Miji.
Ujenzi unaendana na mahitaji ya soko Wala sio kegezo Cha kupendezesha..

Ukweli wa Mambo Ni kwamba kabla ya Mwendazake kuwa Rais majengo hayi yalikuwa na wapangaji ila alivuruga Uchumi yakabakia empty saizi ndio kidogo yanaanza ku recover..

Mnajizungusha we're badala ya ku hit the point.Kama majengo hayalipi Basi ungekuta huko kwenye Miji yetu Hakuna majengo ya biashara na makazi yanajengwa..

Maviwanda Ni very risk kuliko majengo.
 
Kwenye Utalii Tanzania haina mpinzani..

Yanyakua tuzo lukuki 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221114-112239.png
    Screenshot_20221114-112239.png
    138 KB · Views: 28
Utasikia mtu anasema Tanzania Kuna maisha magumu 😂😂..

Kama Tanzania maisha Ni magumu huko Kunyaland,Uganda,Rwanda etc wanaishije kwa Hali Kama hii hapa ? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221113-083017.png
    Screenshot_20221113-083017.png
    93.3 KB · Views: 26
Kazi imeanza na haitasimama.., Nyali Mombasa.., sio Mwanza
View attachment 2416390
View attachment 2416392
View attachment 2416405

Sio Nairobi ni Mombasa, zoea Kenya mapema usije ukapotea njia bro [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
View attachment 2416396
View attachment 2416397
View attachment 2416404
View attachment 2416403
View attachment 2416399
Mzee wa bambuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee wa bambuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
eti Bambuli 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 lishamba kutoka gongo la mboto, chief zezeta😂😂😂😂😂😂😂😂., sema Bamburi.., yaani BambuRI.., sio LI.., 😂😂😂😂😂😂😂, yaani ni mtaa wa anasa sana!, watanzania wako kwa wingi hiyo mtaa.,
Bamburi Mtambo, Mombasa
1668431594769.png

1668431564181.png

1668431632999.png
 
Mzee wa bambuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na isikue umepotea njia unadhani hapa 👇 👇 ni "Bambuli" 😂 😂 😂 , hapa sio Bamburi ni moja kati ya mitaa pale Kiembeni mjuu wangu.., zoea Kenya..,
Kiembeni Mombasa..,(mikusanyiko ya estates ndani ya Kiembeni)
1668431900429.png

1668432283749.png

1668432040764.png

1668432310367.png

1668432403235.png

1668432422729.png
 
Back
Top Bottom