Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,683
- 107,124
wacha fikra za ajabu! kwahiyo ule wa Kigamboni ulioshindwa kuisha hujauona? Sioni cha kulalamika! ujenzi ni ujenzi sio kila kitu kuiga! Tunajenga kwa uwezo wetu na kumbuka nyumba zinauzwa baada ya kujengwa! so zijengwe tu hata kama haziuziki? au unataka maghorofa yanayoporomoka yenyewe kama hapo Kunyaland?Kweli kabisa, tungekua tumejenga hiyo miradi kwenye eneo moja kubwa tungekua na eneo moja matata mno .. miradi ya NHC+UTUMISHI HOUSING+TBA .. sahii tungea na concrete jungle ingine kubwaa tena ya maana kuliko KK .. but pitia hivyo vi miradi wanvyofanya NHC now then get to checkout the surroundings.. ni aibu kwakweli