Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Turkana is a very arid county, 3 times the size of Rwanda.
If it had the same population density as Rwanda, its population would be 40 million.

It's a miracle anyone lives in such hostile conditions.
It was first few people now new reason is Arid, I don't see the relation between being Arid and lack of infrastructure
 
Sijasahau kazi ya mwamba lahasha

Viapaumbele ya SSH kwa navyoliona game lake ni kama ifuatavyo
1.Afya (kwasasa ruzuku za dawa zinafika kwa wakati,vifaa vya kisasa vinakuja mara kadhaa na kaongeza watumishi )
2.Elimu(kuondoa ada f6,kuongeza budget ya mkopo wanafunzi wa vyuo vikuu,fedha za tafiti nk), kijenga madarasa elimu ya sekondari na kuajiri walimu)
3.Mazingira rafiki ya biashara na uwekezaji(task force kuondolewa watu wamalipa kodi bila kutumia nguvu kubwa, apa hata revenue imeongezeka)
4.Kilimo..(kupandisha budget ya kilimo×4 na kuanzisha block farms nk)
Yote uliyotaja katika sekta ya Afya na kilimo ni muendelezo ya aliyoanzisha Magufuli, vifaa vyote vikubwa katika Hospital zetu ni kazi ya Magufuli. Mimi nilikua hapo Muhimbili kipindi cha Mwinyi na Mkapa Hadi Kikwete, hali ya Hospital zetu ilianza kubadilika mara tu JPM alipoingia madarakani
1) Alitimua uongozi wa Muhimbili na kuweka uongozi mpya
2)Alibadilisha uongozi wa MSD
3)Alianzisha mfumo wa kununua dawa Moja kwa Moja toka viwandani India badala ya kutumia "middlemen".
4)Alipandisha kiwango cha upatikanaji dawa kutoka wastani wa 22% kabla ya uongozi wake Hadi 90%
5) Alifufua CT scanners na MRI ambazo zilikua hazifanyi kazi kutokana na sababu mbalimbali
6)Alinunua X-ray machines za kisasa na kununua vifaa vipya Kule Ocean road Cancer Institute ikiwemo PET scanner
7)Aliokoa Hospital ya Bugando ambayo ilikua na mgogoro mkubwa wa kiuongozi na kifedha
8)Aliimarisha utendaji wa MSD kiasi cha kufanya ichaguliwe kuwa kinara katika SADC na kuchaguliwa kuwa ndio mnunuzi na msambazaji wa dawa na vifaa tiba wa SADC
9)Alikutana na kushawishi uwekezaji wa viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini, zaidi ya viwanda 5 viko ktk hatua za mwisho

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
It was first few people now new reason is Arid, I don't see the relation between being Arid and lack of infrastructure

Bongolala pathetic education on display again. Babu Nyerere aliwakosea sana.
If you can't see the relationship between land size and population, you are just as illiterate as the everyone thinks TZ people are.
 
Umia pole pole mana hakuna uwezekano wa kupata electrifitried SGR wala BRT system huko kwenu kwa miaka 100 ijayo.

Mje Nairobi mjifunze architectural designs.
Na venye huwa mnachocha hio electric SGR yenu, mgeni anaweza kadhani speed yake ni 400km/h kama zinazojengwa nchi zingine.

Kumbe tofauti yake na SGR ya Kenya ni 20km/h 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Ikimalizwa, Tanzania itashikilie rekodi ya 'THE SLOWEST ELECTRIC TRAIN IN THE WORLD'

nb.JPG
 
Bongolala pathetic education on display again. Babu Nyerere aliwakosea sana.
If you can't see the relationship between land size and population, you are just as illiterate as the everyone thinks TZ people are.
Mbona hauna adabu?
 
Mje Nairobi mjifunze architectural designs.
Na venye huwa mnachocha hio electric SGR yenu, mgeni anaweza kadhani speed yake ni 400km/h kama zinazojengwa nchi zingine.

Kumbe tofauti yake na SGR ya Kenya ni 20km/h

Ikimalizwa, Tanzania itashikilie rekodi ya 'THE SLOWEST ELECTRIC TRAIN IN THE WORLD'

View attachment 2406739
Kila kitu kimesanifiwa na wachina hapo,mlianza kusema hatuwezi jenga sgr sahv mnasema the slowest?ushawahi drive at 160km/hr ukaona namna gari inatembea ama unaongea tu..
Sasa unafananaishaje 160km/hr kwa 120km/hr?
Yani train za mizigo Tz zitakua zinaspeed sawa na ya abiria kenya lol
 
Mje Nairobi mjifunze architectural designs.
Na venye huwa mnachocha hio electric SGR yenu, mgeni anaweza kadhani speed yake ni 400km/h kama zinazojengwa nchi zingine.

Kumbe tofauti yake na SGR ya Kenya ni 20km/h

Ikimalizwa, Tanzania itashikilie rekodi ya 'THE SLOWEST ELECTRIC TRAIN IN THE WORLD'

View attachment 2406739
160km/hr - 120km/hr = 20km/hr eti?

And do not forget 120km/hr is the max speed that ur upgraded mgr has, but ours has a max speed of 200km/hr, so the difference is 80km/hr.
 
Back
Top Bottom