Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na sinimevamiwa😂kwasababu ya💉💉💉nimeguza penye lazy minds🇹🇿🔥🔥
Sijui kwanini mifugo maelfu wa Tz walikufa wengi juzijuzi tu,kaskazini mwa Kilimanjaro kwa sababu ya ukame??
Sjui kwanini Kuna water rationing Tz kotekote???
Kwanini bwawa la horohoro limekauka,linalotumiwa na maelfu ya watu na sahii wanahangaika??
Ama ni laziness🇹🇿???na nkisema pia Kenya Kuna ukame mbaya zaidi wananiattack!!😂😂😂😂😂😂
Kuna msemo flani unaniongezaga roho kwenye situations Kama hizi;
👉Nyani haonagi kundule!!💉💉😂😂😂😂sijui Kama mnaelewa ukame ni Nini!!!
 
Na sinimevamiwakwasababu yanimeguza penye lazy minds
Sijui kwanini mifugo maelfu wa Tz walikufa wengi juzijuzi tu,kaskazini mwa Kilimanjaro kwa sababu ya ukame??
Sjui kwanini Kuna water rationing Tz kotekote???
Kwanini bwawa la horohoro limekauka,linalotumiwa na maelfu ya watu na sahii wanahangaika??
Ama ni laziness???na nkisema pia Kenya Kuna ukame mbaya zaidi wananiattack!!
Kuna msemo flani unaniongezaga roho kwenye situations Kama hizi;
Nyani haonagi kundule!!sijui Kama mnaelewa ukame ni Nini!!!
Hahahaha, zungumzia njaa, water rationing is the lowest point we can reach not starvation
 
  1. SGR Tanzania kuna TV with 2 screens front and back, kwenye garimoshi ya Kunyaland hamna TV!
  2. SGR Tanzania kuna armrest SGR Kunyaland hamna!
  3. SGR Tanzania pia kila seat ina kameza cha kula kwa nyuma ukiacha meza katikati kwa seats zinazoangaliana na pia bottle hanger wakati SGR Kunyaland ina meza katikati tu!
  4. Madirisha ya coaches za SGR Tanzania yako wide, sealed (meaning ndani full kiyoyozi) na yana modern drop down window shades, SGR Kunyaland kuna pazia la kitambaa!
  5. SGR Tanzania ina first aid and safety kits enclosed in a shattered glass Kunyaland linyundo la safety kit linaning'inia wakati first aid kit haionekani!
  6. SGR Tanzania ina automatic sliding transparent glass doors with sensors at both ends of the coaches wakati SGR Kunyaland ina manual metal door with glass window!

Ff7GZ7FWQAEyDlq


Ff7QFxSX0AEUudH


vs

Esy7ZkvWMAIYkwC


E_ASmmFWEAISTlC




MY TAKE
Wakunya wacheni kujidanganya! As far as amenities and comfortability are concerned, SGR Tanzania coaches beat by far SGR Kunyaland coaches!
Hapo sawa, interior ya hiyo yenu is dope, I accept. Kunna arm rest in Kenya's depending na coach, third class haina, it has comfort.., naona kuna zenye open windows, when I used it from Mombasa to Nai the coach I was in there was no opening window only AC., na beer kwa wingi..,
1667031377652.png

1667031388137.png

1667032103270.png

1667032141651.png
 
Huu upuuzi wako ndio chanzo cha umasikini wenu, wewe unataka makampuni yaende kujenga uchimi wa nchi za jirani wakati bado Nyumbani hawajamaliza kazi?.

Jeulize kati ya Kenya na Tanzania no nchi gani Kuna tatizo kubwa la ajira?, Ni nchi gani ndiyo yenye "what is the balance of trade among Tanzania and Kenya?.

Ukipata majibu ya hayo maswali unijulishe
Pedestrian sana..., rudi shule kisha uje
 
Hahahaha, zungumzia njaa, water rationing is the lowest point we can reach not starvation
sijui mbona nimeskia watz wakilalamika vitu vimepanda bei eti Wana njaa,eti debe la Mahindi limepanda 30,000 debe moja sasa na wanakuaga lazy hawawezi kupewa bure lazima wanunue!!sisi waKenya ndio tumekodi mashamba yenu tukapanda pia Mahindi,hatufanyi kazi ya bure lazima mnunue!!!
Alafu ukiona mifugo pia wamekufa Tz ujue hao Wafugaji pia wako njaa sahii sababu ndio kipato Chao!
 

Kenyan banks struggle to grow in Tanzania​

FRIDAY JULY 08 2022
bank

A customer is served at a Kenya Commercial Bank branch. FILE PHOTO | NMG

Kenyan banks are struggling for market share in Tanzania despite a decade-plus presence in the country, underlining the challenges Kenyan businesses face in that market.

Equity Group, KCB and DTB hold a market share of less than four percent each in Tanzania, in contrast to shares of between five and 24 percent in other jurisdictions such as Uganda and the Democratic Republic of Congo (DRC).

Equity, which is the biggest lender in Kenya by assets and earnings, says in its latest annual report that it held a market share of just 1.7 percent in the Tanzanian market by the end of 2020.

KCB’s Tanzania market share in the period stood at 2.1 percent, and DTB’s at 3.8 percent.

Equity’s Tanzania unit has in the past suffered under the weight of high non-performing loans. It was also negatively affected by the Covid-19 pandemic and the government’s decision to shift to Dodoma from Dar es Salaam, where most of the bank’s branches are situated, which resulted in a loss of State-related business.

The bank, however, said in its 2021 full-year briefing in March that it is confident of a turnaround, saying it is reviewing its leadership and business model for the unit, and that the operating environment has improved post-Covid.

In other East African countries, the Kenyan banks enjoy a larger share of the market, the biggest being Equity’s DRC subsidiary at 24.7 percent, where it trades as EquityBCDC and is the second-largest lender in that country by market share.

In Rwanda, KCB is now the second-largest lender with a market share of 17 percent, behind Bank of Kigali at 37.5 percent, while I&M and Equity are the third and fourth-largest lenders respectively with market shares of 11.3 and 11 percent,

In Uganda, Equity and DTB account for 6.9 percent and five percent of the market respectively.

Kenyan lenders have partly relied on acquisitions to drive market share growth, such as Equity’s takeover of BCDC in the DRC and KCB’s acquisition of Banque Populaire du Rwanda Plc (BPR).

Equity and KCB have however recently failed in proposed acquisitions in Tanzania after they walked away from proposed deals to acquire BancABC Tanzania from Atlas Mara in 2020 and 2021 respectively.

cmwaniki@ke.nationmedia.com




KCB acquisition of Tanzanian bank flops​



THURSDAY DECEMBER 02 2021​

KCB Bank branch in Kenya.

KCB Bank branch in Kenya. KCB Group has cancelled its plan to acquire a Tanzanian lender from London-listed Atlas Mara Limited. PHOTO | FILE | NMG

Summary

  • KCB terminates acquisition of African Banking Corporation Tanzania citing regulatory approval hurdles.
  • Lender says it will explore other opportunities to expand its African presence.
ADVERTISEMENT

General Image

By BRIAN NGUGI
More by this Author

KCB Group has cancelled its plan to acquire a Tanzanian lender from London-listed Atlas Mara Limited, citing regulatory hurdles.

KCB in late November 2020 announced that it would acquire 62.06 percent stake in Banque Populaire Du Rwanda (BPR) and 100 percent stake in African Banking Corporation Tanzania Limited (BancABC).

The lender, which already has a presence in the two markets, signed a share purchase agreement Atlas Mara and gave itself a six-month timeline to complete the deal.

Read: KCB completes acquisition of Rwandan bank

The transaction would be settled in cash with $32 million being incurred on BPR and $8 million on BancABC. The actual cash consideration payable by KCB would, however, be determined based on the final book value of the two banks at the completion of the transactions.

The Kenyan multinational lender, with a presence in five East African markets, said the acquisitions reflected its expansion strategy in the regional market.

“As announced, completion of the transaction was subject to certain conditions...including receipt of all regulatory approvals. As of the date hereof, certain regulatory approvals have not been received within the prescribed timeframe specified in the Agreement,” said KCB in a regulatory notice to shareholders on Tuesday.

“As a result, without further agreement by the parties to extend the long-stop date, the agreement has been terminated and, accordingly, the parties will not proceed to complete the transaction as previously envisaged.”

KCB completed the purchase of the Rwandan bank in August, acquiring a 76 percent stake in BPR from Atlas Mara (62 percent) and private equity firm Arise (14 percent). It plans to acquire the remaining 24 percent stake owned by other minority investors.

KCB had inked the deal with Mara months after Equity Bank Group called off its plan to acquire four banking subsidiaries from Atlas Mara, saying it needed to preserve its capital in the wake of the Covid-19 pandemic.

The parties had initiated talks in April 2019, but the negotiations targeting Atlas Mara’s units in Rwanda, Zambia, Tanzania and Mozambique dragged on until the pandemic hit.

Atlas Mara is selling its African banks to KCB and other lenders to raise funds to pay its creditors, some of whom had launched liquidation proceedings against the multinational that was the brainchild of former Barclays Plc’s chief executive Bob Diamond.

Big banks led by Equity, KCB, and I&M and DTB have been deepening and expanding their presence in the region in pursuit of growth and diversification.

KCB says it will explore other opportunities “in order to enhance our regional participation, accelerate our growth and maintain sustainable long-term African success in line with our expansion and growth strategy.”

October 2022.., unanilitea taarifa za kitambo, chuma imeshika reli sasa ni kuteleza, mambo yamebadilika..., soma gazeti lenyu la Oct. 27, 2022.., as business activities in Tanzania increases so is the profits of Kenyan businesses there., zile ni kama net, tunavua "samaki"(money) wanapopatikana..., u grow u push us up, u flop we go down.., tumewashika kama kupe, mkiwa na afya ndio basi kwetu.,
1667033190672.png

1667033286317.png
 
first thing we are not lazy ata watu wenu wanajua jinsi biashara na Kenyans ni hivi🤞🤑ogopa!!!
Then sio sisi tumeleta ukame it's Climate change na Northern Kenya wanadepend in Pastoralism kulea mifugo na sai mifugo zao washakufa wengi sababu ya ukame!!
Sasa wamesema wanataka kuingilia kilimo na serikali itawasaidia👌
ebu imagine Kama Kenya tunacompete na Kina India interms of cash cash imagine tukibadilisha pastoralists wa Kenya wawe wakulima Kama tutashikikaga😂
Tz is a green country and lots of nutural resources yet hakuna Kitu munafanya ya maana🚮🚮🚮lazy minds😂
wanahitaji tambiko to be free from laziness and poverty.., yao ni laana, hawana excuse. 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
wanahitaji tambiko to be free from laziness and poverty.., yao ni laana, hawana excuse. 😂 😂 😂 😂 😂 😂
laziness hio nayo inakuanga kwa damu yao,lakini climate change ndio itawaondolea hio na jinsi walivyozaliana kkk😂wanapendaga kulala tuu😂😂😂
 
October 2022.., unanilitea taarifa za kitambo, chuma imeshika reli sasa ni kuteleza, mambo yamebadilika..., soma gazeti lenyu la Oct. 27, 2022.., as business activities in Tanzania increases so is the profits of Kenyan businesses there., zile ni kama net, tunavua "samaki"(money) wanapopatikana..., u grow u push us up, u flop we go down.., tumewashika kama kupe, mkiwa na afya ndio basi kwetu.,
View attachment 2401032
View attachment 2401034
reaching tier 1 and market share of less than 4%, what does that say about KCB Bank?
 
  1. SGR Tanzania kuna TV with 2 screens front and back, kwenye garimoshi ya Kunyaland hamna TV!
  2. SGR Tanzania kuna armrest SGR Kunyaland hamna!
  3. SGR Tanzania pia kila seat ina kameza cha kula kwa nyuma ukiacha meza katikati kwa seats zinazoangaliana na pia bottle hanger wakati SGR Kunyaland ina meza katikati tu!
  4. Madirisha ya coaches za SGR Tanzania yako wide, sealed (meaning ndani full kiyoyozi) na yana modern drop down window shades, SGR Kunyaland kuna pazia la kitambaa!
  5. SGR Tanzania ina first aid and safety kits enclosed in a shattered glass Kunyaland linyundo la safety kit linaning'inia wakati first aid kit haionekani!
  6. SGR Tanzania ina automatic sliding transparent glass doors with sensors at both ends of the coaches wakati SGR Kunyaland ina manual metal door with glass window!

Ff7GZ7FWQAEyDlq


Ff7QFxSX0AEUudH


vs

Esy7ZkvWMAIYkwC


E_ASmmFWEAISTlC




MY TAKE
Wakunya wacheni kujidanganya! As far as amenities and comfortability are concerned, SGR Tanzania coaches beat by far SGR Kunyaland coaches!
Your couches are ugly. Just accept that fact and move on.
 
Mnaweza ona ni jinsi gani tunabishana na matahira mixer wehu humu ndani. Imagine kuitwa lazy with a country which depends on you kwa chakula 🤣 Imagine kuitwa lazy na taifa which depends on food donations.. kuna namna nafkiri hawa jamaa tuwaache tu .. wenyewe wanajiita ni hard workers 🤣 lakini hawawezi kujilisha 2022 hii, kilimo wanachotegemea ni maua na chai ambacho wanye mashamba yao ni wazungu huko kwao. 🤣🤣
Sasa umeandika nini hapa?
 
  1. SGR Tanzania kuna TV with 2 screens front and back, kwenye garimoshi ya Kunyaland hamna TV!
  2. SGR Tanzania kuna armrest SGR Kunyaland hamna!
  3. SGR Tanzania pia kila seat ina kameza cha kula kwa nyuma ukiacha meza katikati kwa seats zinazoangaliana na pia bottle hanger wakati SGR Kunyaland ina meza katikati tu!
  4. Madirisha ya coaches za SGR Tanzania yako wide, sealed (meaning ndani full kiyoyozi) na yana modern drop down window shades, SGR Kunyaland kuna pazia la kitambaa!
  5. SGR Tanzania ina first aid and safety kits enclosed in a shattered glass Kunyaland linyundo la safety kit linaning'inia wakati first aid kit haionekani!
  6. SGR Tanzania ina automatic sliding transparent glass doors with sensors at both ends of the coaches wakati SGR Kunyaland ina manual metal door with glass window!

Ff7GZ7FWQAEyDlq


Ff7QFxSX0AEUudH


vs

Esy7ZkvWMAIYkwC


E_ASmmFWEAISTlC




MY TAKE
Wakunya wacheni kujidanganya! As far as amenities and comfortability are concerned, SGR Tanzania coaches beat by far SGR Kunyaland coaches!
Kaka, inaonekana maswali ya compare and contrast ulikuwa umwachii maksi Ticha, umeua kinyama sana…….kwa hii upper cut wakinyanyuka basi tufunge uzi😅😅
 
Back
Top Bottom