Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Utakufa kwa wivuWivu? Juu Tanzania imejengwa daraja la 2 lanes?
Utakufa kwa wivuWivu? Juu Tanzania imejengwa daraja la 2 lanes?
Kwanza hapo anajiona ameitoa point ingine nzito sana😂😂😂Utachoka bure na reasoning ya Hawa vilaza😂😂😂😂😂
Mbili.., Nairobi na Mombasa.., maoni yangu.., Tanzania ni moja tu, uswazi city Dar is slum..,Kwahyo kenya kuna cities ngapi mzee.?
Construction ya hiyo dam imeanza tayariHii dam nmeiskia na wewe. Hii basi ilifaa kujengwa kitambo sana I don't know what GoK is waiting for. Tunahitaji stima na chakula ASAP
Huu ukweli ni mchungu kwako ila huna budi kuuzoea Mwanza na Mombasa they are of the same level .. sioni chochote Mombasa cha maana kando ya bandari chenye labda ni zaidi ya Mwanza ..Mbili.., Nairobi na Mombasa.., maoni yangu.., Tanzania ni moja tu, uswazi city Dar is slum..,
Tanzanians are too lazy to feed us.🤣🤣🤣 Ila we jamaa kiboko
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.
Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.
Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.
Bahati mbaya mwendazake alifariki.
Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.
Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.
Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.
Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
kuna wakenya walikuwa wanalima vitunguu maji pale Ruaha mbuyuni.
Kaamua kujilipuaHii dam nmeiskia na wewe. Hii basi ilifaa kujengwa kitambo sana I don't know what GoK is waiting for. Tunahitaji stima na chakula ASAP








Show us Mwanza in this map.Huu ukweli ni mchungu kwako ila huna budi kuuzoea Mwanza na Mombasa they are of the same level .. sioni chochote Mombasa cha maana kando ya bandari chenye labda ni zaidi ya Mwanza ..
Tafuta daktari wa kutibu vichaa, wewe sio mzima,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂, in Tanzania Kuna city moja pekee ya ku level na Mombasa na ni Dar, yaani ni too obvious!., ata kipofu ataona🤣🤣🤣🤣😂😂, kojoa ulale tu.Huu ukweli ni mchungu kwako ila huna budi kuuzoea Mwanza na Mombasa they are of the same level .. sioni chochote Mombasa cha maana kando ya bandari chenye labda ni zaidi ya Mwanza ..
unawashwa wewe ujala niniMbili.., Nairobi na Mombasa.., maoni yangu.., Tanzania ni moja tu, uswazi city Dar is slum..,
Pole sana. Ama siku hizi hamtaki construction board?😂Kaamua kujilipua![]()
Ukweli imekuacha na ugonjwa wa moyo, ni uchungu najua, ila vumilia, hambadilishi lolote.,, kojoa ulale na wewe pia, idiot🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,unawashwa wewe ujala nini
toka zamani nakwambia we akili auna ila uelewi aseee hahahaaaaTafuta daktari wa kutibu vichaa, wewe sio mzima,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂, in Tanzania Kuna city moja pekee ya ku level na Mombasa na ni Dar, yaani ni too obvious!., ata kipofu ataona🤣🤣🤣🤣😂😂, kojoa ulale tu.
Wewe ndio unachanganyikiwa, watu wanakushangaa haswaa.. utawezaje ku level mombasa na DAR .? ..Tafuta daktari wa kutibu vichaa, wewe sio mzima,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂, in Tanzania Kuna city moja pekee ya ku level na Mombasa na ni Dar, yaani ni too obvious!., ata kipofu ataona🤣🤣🤣🤣😂😂, kojoa ulale tu.
Kitu Dar inashinda nayo Mombasa ni BRT pekee. Sectors zingine Mombasa floors Dar early in the morning.Wewe ndio unachanganyikiwa, watu wanakushangaa haswaa.. utawezaje ku level mombasa na DAR .? ..
Mwenye macho haambiwi tazama, wacha kupoteza mda kwa kujifariji, haubadilishi lolote, kojoa ulale.toka zamani nakwambia we akili auna ila uelewi aseee hahahaaaa
nlisha kwambia we uwa unafikiria kwenye matako uelewiUkweli imekuacha na ugonjwa wa moyo, ni uchungu najua, ila vumilia, hambadilishi lolote.,, kojoa ulale na wewe pia, idiot🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,
Very goodKitu Dar inashinda nayo Mombasa ni BRT pekee. Sectors zingine Mombasa floors Dar early in the morning.