Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


look wakenya mjue kutofautisha kati ya X na kuzidisha kati ya TZ airport na kunyani hahahaha angalia apo kitu ni safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mno na kisasa sanaaaaaaaaa
 
Pamoja na usomi wako lakini bado umeonyesha ni namna gani akili yako ilivyo finyu, kufanya kazi vijijini kunaweza kuwa potential zaidi kuliko kufanya kazi mjini, since Mtwara kuna Ardhi yenye rutuba na inasapoti kilimo chochote (ukitaka mali utazipata shambani) uzuri zaidi Mtwara ni mkoa ambao hauko mbali na DSM pia, Upande wa chato alkadhalika ni wilaya inayopakana na mikoa miwili Geita na Bukoba na pia haipo mbali sana na Mwanza, kwahyo kwa kilimo+biashara vyote vinatoa .. Halafu mzee wangu, unavyo discourage watu kufanya kazi vijijini eti kwa kigezo cha hawatotajirika 🤣🤣 huo ni utahira, since udakitari ni wito, uko pale ili kuihudumia jamii, mlisomeshwa kwa mikopo (pesa za watanzania walipa kodi) mpaka mkamaliza, leo mkiitwa mkawahudumie kuokoa maisha yao mnakataa, kwa kigezo eti ni kijijini hakuna maisha mazuri🤣🤣.. mtanzania wa aina yako hautufai wewe kwenye mambo ya kuwa civil servant .. huna uzalendo, wewe ni mtanzania mshenzi kabisa wewe
Anawaza rushwa tu kutoka kwa wagonjwa, sasa nimeelewa kwa nini huwa ana chuki na aliyepita
 
Kilimani,,best part in Africa 😍
FB_IMG_1666060622506.jpg
FB_IMG_1666060610303.jpg
FB_IMG_1666060602997.jpg
FB_IMG_1666060591160.jpg
FB_IMG_1666060583771.jpg
FB_IMG_1666060566202.jpg
FB_IMG_1666060560430.jpg
FB_IMG_1666060553843.jpg
FB_IMG_1666060540972.jpg
 
Hivi sababu zipi zilifanya tender ya brt phase 2 wasipewe tena strabag kutokana na kazi nzuri waliyoionyesha kwenye phase 1?

Serikali ikitangaza tender, atakayeshinda tender ni yule wa gharama ya chini.
Nina supportive documents baadhi hapa ila maadili ya kazi hayaniruhusu kupost.

Mfano tender ikitangazwa halafu;
Kampuni A gharama za kujenga = 500
Kampuni B gharama za kujenga = 450
Kampuni C gharama za kujenga = 650

Atakayeshinda tender na kupewa ni Kampuni B.
 
Serikali ikitangaza tender, atakayeshinda tender ni yule wa gharama ya chini.
Nina supportive documents baadhi hapa ila maadili ya kazi hayaniruhusu kupost.

Mfano tender ikitangazwa halafu;
Kampuni A gharama za kujenga = 500
Kampuni B gharama za kujenga = 450
Kampuni C gharama za kujenga = 650

Atakayeshinda tender na kupewa ni Kampuni B.
Ila anayepewa tender anafungwa specifications za mteja ikiwemo standards zinazohitajika! Hii kampuni inafanya economic sabotage!
 
Ila anayepewa tender anafungwa specifications za mteja ikiwemo standards zinazohitajika! Hii kampuni inafanya economic sabotage!
Walio wapa tender karibu wote hawapo,lakini BRT phase I ni standard zaidi japo nayo ilichukua muda mrefu.Shida nyingine Toka kwa strabarg ni kuwa wamekua na vitendea nje ya mkataba wanawapa material watu wenye ujenzi mwingine kwenye majengo,na wale wa tender za Tarura hivi navyo vinaongeza muda
 
Back
Top Bottom