babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Ila anayepewa tender anafungwa specifications za mteja ikiwemo standards zinazohitajika! Hii kampuni inafanya economic sabotage!
Kampuni B imesema itajenga kwa 450 kwa standard zile zile alizosema kampuni A na C hapo lazima ashinde tender.
Bahati mbaya sana baadhi ya wanaopitisha hayo mamikataba wanaangalia gharama.