Usiogope kupost hivi pictures bana, hio terminal yenyu inafanana na cargo center ya jkia
Huu mradi utaifungua sana kigoma
Hiki kidude kinaonekana cha kibabe
Oysterbay na mikocheni kwani ziko


Imekuingia penyewe😂😂😂😂😂Ukweli mchungu., mlizoea uongo na propaganda, utanyooka upende usipende, zoea mapema 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Umekuwa mjinga sana cku hz.
Banda la kuku kama maduka, ujinga tuondolee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Usiogope kupost hivi pictures bana, hio terminal yenyu inafanana na cargo center ya jkiaView attachment 2390138View attachment 2390137














Sasa uringe kuna nn hapo






Nakuambia hivi tukianza kupost overpass na underpass watakimbia humu, mana ni nyingi mno.Badae wasijewakasema mbona imekua ghafla sana,Tuliwazoea Hawana barabara nzuri hawana SGR...Sasa ni hivi...inajengwa 1219KM kutoka Dar hadi Mwanza..
Along zinajengwa barabara za kutosha...Endeleeni kujimwambafai na Nairobi ExpresswayView attachment 2390198View attachment 2390199View attachment 2390200
Mpumbavu anafananisha kajengo kamoja kame pigwa make-ups na JKIA.., aulize baba levo.., from 4:16...,Usiogope kupost hivi pictures bana, hio terminal yenyu inafanana na cargo center ya jkiaView attachment 2390138View attachment 2390137
Kwahyo Mwanza wana vituo viwili vikubwa?kuna ile nyingine ambayo imeisha tayari anza kutumika...Before
After
post mnangoja nini? hii tz ama kuna nyingine? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Nakuambia hivi tukianza kupost overpass na underpass watakimbia humu, mana ni nyingi mno.