900B Tshs ni kama 45B Kshs pekee.
For comparison
Thika road imejengwa na Kshs, 32B kuanzia 2009 - 2012 - ingejengwa mwaka huu ingekuwa more than double hiyo pesa yani Kshs. 64B (Tshs 1.28 Trillion) na ni barabara ya 50km pekee.
Tatu City ambayo inajengwa kwa 5000 acres pekee inacost $2.5 billion - hiyo ni Kshs 302 billion ama Tshs 6.04 Trillion yani mara saba hiyo cost ya Magufuli city.
Konza City will cost Kshs 595 billion - hiyo ni kama Tshs. 11.9 Trillion - yani mara 13 cost ya Magufuli city
Nairobi expressway imecost Kshs. 97 billion - hiyo ni Tsh 1.94 Trillion yani mara mbili ya Magufuli city yet it's only a 27km road.
Naweza endelea kukutajia projects hata za hapo bongo utaona Tsh. 900 billion ni pesa kidogo sana na hazitajenga hilo jiji mnategemea. Najua wewe ni tofauti kidogo na wenzako walio na ushabiki wa kipuuzi na blind patriotism kwa hivo nitakupa google image ya Magufuli city uone jinsi ilivyo ndogo.
View attachment 2377220
Ukiangalia kwa google maps ni only 6sq. km. Hiyo ni 1482.63 acres, yani hata hafiki 1/3 of Tatu City ambayo ni kamji kadogo tu kanakojengwa on the outskirts of Nairobi.