REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,233
- 10,919
Baada ya kijana wa m7 kutishia kuiteka Kenya,Leo amepandishwa cheo kuwa Jenerali,huu ni ujumbe Uganda inatuma kwenda Kenya,hata zile tweets,inaonekana hakuwa akituma kwa mawazo yake.
Ndio jana nilimuambia mwamba hapa, huyo dogo ndio muongea hovyo, ila always on point na deliberate. Aongei toka chooni anasema anachokijua fika na kwa undani na ni discussions wanazokuwa nazo na wenziwe, baba yake.
Huwezi sikia aiongea ujinga huu dhidi ya Tanzania. walio kwenye game la kijeshi sisi wanatutambua vyema na huwa hawapendi mchezo na MOTO, P***sy!
I got a strong point here.Even though it's a joke but inside deep down the guy is sending a message to Kenyan army and its security organs that is weak to end militia operation in their country.
But am not insisting on what is going on because it can bring chaos in those two countries from what is talking.(tweeting).



