Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya kijana wa m7 kutishia kuiteka Kenya,Leo amepandishwa cheo kuwa Jenerali,huu ni ujumbe Uganda inatuma kwenda Kenya,hata zile tweets,inaonekana hakuwa akituma kwa mawazo yake.




Ndio jana nilimuambia mwamba hapa, huyo dogo ndio muongea hovyo, ila always on point na deliberate. Aongei toka chooni anasema anachokijua fika na kwa undani na ni discussions wanazokuwa nazo na wenziwe, baba yake.

Huwezi sikia aiongea ujinga huu dhidi ya Tanzania. walio kwenye game la kijeshi sisi wanatutambua vyema na huwa hawapendi mchezo na MOTO, P***sy!

I got a strong point here.Even though it's a joke but inside deep down the guy is sending a message to Kenyan army and its security organs that is weak to end militia operation in their country.

But am not insisting on what is going on because it can bring chaos in those two countries from what is talking.(tweeting).


 
Vibwengo wa Mwendazake watasema ni awamu ya 6 😁😁

Kazi inaendelea👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221002-183714.png
    Screenshot_20221002-183714.png
    170.1 KB · Views: 9
Hii ndio eti vita ya Kiuchumi ambayo Mwendazake na genge lake walidai kupigania..

Nchi ilikula hasara kuliko ilichopata sababu ya watu wenye vichwa vikubwa vilivyojaa mausaha badala ya Ubongo.

Wameanza kujitokeza mmja mmja kukiri👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221004-160109.png
    Screenshot_20221004-160109.png
    77.6 KB · Views: 9
Ndio jana nilimuambia mwamba hapa, huyo dogo ndio muongea hovyo, ila always on point na deliberate. Aongei toka chooni anasema anachokijua fika na kwa undani na ni discussions wanazokuwa nazo na wenziwe, baba yake.

Huwezi sikia aiongea ujinga huu dhidi ya Tanzania. walio kwenye game la kijeshi sisi wanatutambua vyema na huwa hawapendi mchezo na MOTO, P***sy!





Na kwanini wajiamini kiasi hiki?
 
Na kwanini wajiamini kiasi hiki?

Kila jeshi lina intelligence ndani ya jeshi, nje na nje ya nchi. Kila embassy kuna mwambata wa jeshi na wanajeshi waluiobobea maswala ya uspy wakideal kuspy mambo ya kijeshi ya nchi husika tu na kuwasilisha ripoti kwa kiongozi wa doplomasia (ambassador) nchio hwanapofanyia kazi, then zinawasilishwa wizarani, halafu kupelekwa kwa head of military intelligence ambaye ana combine ripoti na kuipeleka kwa Director General of National Security huko zinawakilishwa na branch zote za intelligensia then riport moja inasomewa rais kila siku ( President's Daily Brief (PDB) )
 
Ndio jana nilimuambia mwamba hapa, huyo dogo ndio muongea hovyo, ila always on point na deliberate. Aongei toka chooni anasema anachokijua fika na kwa undani na ni discussions wanazokuwa nazo na wenziwe, baba yake.

Huwezi sikia aiongea ujinga huu dhidi ya Tanzania. walio kwenye game la kijeshi sisi wanatutambua vyema na huwa hawapendi mchezo na MOTO, P***sy!




Muogopwe kwa helicopter 5 za kijeshi?...usiwe mtu wa bla bla bla
 
Hamujawahi kuwa na mradi mkubwa kama huu Tangu kuanzishwa kwa Kenya . Funga bakuli lako.. 👇.

Hii bado sana!! development is not yet even a quarter ya Tatu City as at now, na pia Konza's Technocity, horizantal infrastructure (yaani laying of fibre optics, electricity lines, sewer lines and construction of roads) is 80% done, hapa sioni ata hiyo horizontal, they are first setting up buildings.., bado sana, ila congratulations.., keep up.




Konza 2021..,
 
Mabunge matatu kutoka Afrika yamekuja kujifunza tunachokifanya ndani ya DOM City .. yakiwemo

South Africa
Nigeria pamoja na nyie kondoo wanuka mavi .. Don YF .. pitia hii video ujionee ukubwa wa mradi huu. Ambao it will take you at least 3 decades to have it done . Pitia hapa 👇.

Mnuka kinyesi ni wewe dogo.., maendeleo ya Kenya huwa inawaumiza sana!!..., hii kukamilishwa kwa hiki kizazi chenu cha sasa itakua kizungumkuti.., mtakuwa wazee vikongwe nakuambia, hii hii Tanzania moja hii? zoea ukweli mapema usije ukashtukia 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hii bado sana!! development is not yet even a quarter ya Tatu City as at now, na pia Konza's Technocity, horizantal infrastructure (yaani laying of fibre optics, electricity lines, sewer lines and construction of roads) is 80% done, hapa sioni ata hiyo horizontal, they are first setting up buildings.., bado sana, ila congratulations.., keep up.




Konza 2021..,

😂😂😂 Wewe sio bure unaliwa wewe .. hayo majengo ndio infrastructures za mwisho hapo kama ulikua hujui.. DOM new City iko na 51 km roads.. zote hizi hapa ready 👇
Screenshot_20220919-174049.png
.. juzi mzee chongchanng alipost Hizi picha humu 👇
IMG_20220918_105952_236.jpg
IMG_20220918_103444_548.jpg
IMG_20220918_104746_698 (1).jpg
IMG_20220918_104742_888.jpg
bado utabisha.? 😂😂😂
 
Mnuka kinyesi ni wewe dogo.., maendeleo ya Kenya huwa inawaumiza sana!!..., hii kukamilishwa kwa hiki kizazi chenu cha sasa itakua kizungumkuti.., mtakuwa wazee vikongwe nakuambia, hii hii Tanzania moja hii? zoea ukweli mapema usije ukashtukia 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
We jamaa kweli ni mwehu, unasema kwamba hatuwezi kamilisha huu mradi kizazi cha sasa, ilihali mradi by October next year unaisha .! 😂😂😂. Tulia hapo hapo mwakani sio mbali
 
this photos i took it less than 5min ago..
am seeing Ahero Interchange by (China Roads and Bridge Co.) CRBC, but the initial, groundbreaking was done by Isreali's SBI Co. in 2018, is now nearing completion, now 80% complete. Site handing over shall be commissioned around december by, one his excellency samoei ruto william

Ahero Interchange at this very minute👇🏽

20221004_175800.jpg
20221004_175839_011.jpg
 
This ugandan is really making me laugh eti madam wa tanzania ni make-up tu Ananunua 🤣🤣🤣
13EA4D78-08DA-47CD-B946-D33AAFBC264C.jpeg
 
this photos I took less than 5min ago.. am seeing Ahero Interchange by (China Roads and Bridge Co.) CRBC, but initial groundbreaking done by Isreali's SBI Co. in 2018, is now nearing completion, now 80% complete. Site handing over shall be commissioned in december by, one his excellency Samoei Ruto William

Ahero Interchange at this very minute👇🏽

View attachment 2377148
Wazee wa cheap facilities
 
this photos I took less than 5min ago.. am seeing Ahero Interchange by (China Roads and Bridge Co.) CRBC, but initial groundbreaking done by Isreali's SBI Co. in 2018, is now nearing completion, now 80% complete. Site handing over shall be commissioned in december by, one his excellency Samoei Ruto William

Ahero Interchange at this very minute👇🏽

View attachment 2377148
Had told this southern hooligans that we have interchanges even in the villages wakapiga kelele sent them a picture they said it was part of a bridge I layer my case am sure if some of them get the chance to maneuver into Kenyan counties wa Tasha Ngara what devolution has done
 
You are the one who is stupid here. Majority of us attended compulsory military traning before joining higher learning institutions.

You are the one not knowing the difference, we do.


Learned while claiming taliban was stronger than the USA military
 
Mnuka kinyesi ni wewe dogo.., maendeleo ya Kenya huwa inawaumiza sana!!..., hii kukamilishwa kwa hiki kizazi chenu cha sasa itakua kizungumkuti.., mtakuwa wazee vikongwe nakuambia, hii hii Tanzania moja hii? zoea ukweli mapema usije ukashtukia
Kitu gn kinafanya useme Kenya imeendelea? Mna infrastructure yoyote modern ambayo haipatikani EA bali kwenu tu? Kama hakuna unapata wapi ujasiri wa kusema Kenya imeendelea? Kwa lipi? Sasa funga domo lako maana Tz tuna infrastructures kibao ambazo hapa EA na nchi nyingi za Afrika hakuna na hatupigi kelele.
 
Back
Top Bottom