The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
This ugandan is really making me laugh eti madam wa tanzania ni make-up tu AnanunuaView attachment 2377155
This ugandan is really making me laugh eti madam wa tanzania ni make-up tu AnanunuaView attachment 2377155
Do you believe Tz has 42 tanks ?This ugandan is really making me laugh eti madam wa tanzania ni make-up tu AnanunuaView attachment 2377155
Learned while claiming taliban was stronger than the USA military
Usidhani kila mtu ni mjinga kama wewe.Magufuli city ni kubwa sawa na CBDs zenu zote tatu hapo Kanairo.. eneo lenye barabara zenye urefu wa 51 km .? 21 km dual carriage ways, 29 km kawaida, uite ni eneo dogo.? 😂😂😂 U must be fuckin crazy
Hata ukipost kwa umbali gani, still huwezi badili ukweli .. DOM new government City is larger than any of your village centers ..
Unapost majaluba ya mpunga sio .? 🤣🤣🤣
Shida hakuna mwenye uchungu na hii nchi. Namba moja hana habari na mateso yanayosababishwa na wapigaji.Nchi inajiongoza yenyewe hii, bora hata enzi za Msoga kdg afadhali lkn hakuna muda nchi imekosa uongozi kama sasa na sitegemei kama itatokea kwa miaka 1000 ijayo.
900B Tshs ni kama 45B Kshs pekee.Tiny development gani wanajenga kwa 900B Tshs? Majumba ya wizara 600B miundombinu kama barabara,maji,nyaya za umeme nk 300B ,we lazima utakua mjinga kama unaona izo hela ni ndogo
Haya sasa ngoja tuendelee kuona hizi jokes zinaishia wapiBaada ya kijana wa m7 kutishia kuiteka Kenya,Leo amepandishwa cheo kuwa Jenerali,huu ni ujumbe Uganda inatuma kwenda Kenya,hata zile tweets,inaonekana hakuwa akituma kwa mawazo yake.



Leta hiyo tatu tuone 🤣🤣🤣.. Unazungumzia vitu ambavyo havipo.?900B Tshs ni kama 45B Kshs pekee.
For comparison
Thika road imejengwa na Kshs, 32B kuanzia 2009 - 2012 - ingejengwa mwaka huu ingekuwa more than double hiyo pesa yani Kshs. 64B (Tshs 1.28 Trillion) na ni barabara ya 50km pekee.
Tatu City ambayo inajengwa kwa 5000 acres pekee inacost $2.5 billion - hiyo ni Kshs 302 billion ama Tshs 6.04 Trillion yani mara saba hiyo cost ya Magufuli city.
Konza City will cost Kshs 595 billion - hiyo ni kama Tshs. 11.9 Trillion - yani mara 13 cost ya Magufuli city
Nairobi expressway imecost Kshs. 97 billion - hiyo ni Tsh 1.94 Trillion yani mara mbili ya Magufuli city yet it's only a 27km road.
Naweza endelea kukutajia projects hata za hapo bongo utaona Tsh. 900 billion ni pesa kidogo sana na hazitajenga hilo jiji mnategemea. Najua wewe ni tofauti kidogo na wenzako walio na ushabiki wa kipuuzi na blind patriotism kwa hivo nitakupa google image ya Magufuli city uone jinsi ilivyo ndogo.
View attachment 2377220
Ukiangalia kwa google maps ni only 6sq. km. Hiyo ni 1482.63 acres, yani hata hafiki 1/3 of Tatu City ambayo ni kamji kadogo tu kanakojengwa on the outskirts of Nairobi.
Sawa, haipo. Umefurahi sasa? 😀Leta hiyo tatu tuone 🤣🤣🤣.. Unazungumzia vitu ambavyo havipo.?
Aiseee! Anaongea sana,bado mtu anataka kuniaminisha kwamba ni utani tuNdio jana nilimuambia mwamba hapa, huyo dogo ndio muongea hovyo, ila always on point na deliberate. Aongei toka chooni anasema anachokijua fika na kwa undani na ni discussions wanazokuwa nazo na wenziwe, baba yake.
Huwezi sikia aiongea ujinga huu dhidi ya Tanzania. walio kwenye game la kijeshi sisi wanatutambua vyema na huwa hawapendi mchezo na MOTO, P***sy!



Hapo sasa.Na kwanini wajiamini kiasi hiki?
Unaeza leta hata km tano za barabara za lami in tatu City.?Sawa, haipo. Umefurahi sasa? 😀
Ninekusoma.Kila jeshi lina intelligence ndani ya jeshi, nje na nje ya nchi. Kila embassy kuna mwambata wa jeshi na wanajeshi waluiobobea maswala ya uspy wakideal kuspy mambo ya kijeshi ya nchi husika tu na kuwasilisha ripoti kwa kiongozi wa doplomasia (ambassador) nchio hwanapofanyia kazi, then zinawasilishwa wizarani, halafu kupelekwa kwa head of military intelligence ambaye ana combine ripoti na kuipeleka kwa Director General of National Security huko zinawakilishwa na branch zote za intelligensia then riport moja inasomewa rais kila siku ( President's Daily Brief (PDB) )
Si tumekubaliana haipo? Si nimekuachia ushinde? Mbona hutaki kukubali ushindi? 🤣Unaeza leta hata km tano za barabara za lami in tatu City.?
Unaeza leta..? . mana naona unataka kulinganisha mashamba yenye una dream kuwa city vs the real upcoming City..Si tumekubaliana haipo? Si nimekuachia ushinde? Mbona hutaki kukubali ushindi? 🤣
Tumekubaliana Tatu City haipo na nikakubali umeshinda, nini tena unataka nikuletee? Nikuletee kitu ambacho hakipo? 🤣Unaeza leta..? . mana naona unataka kulinganisha mashamba yenye una dream kuwa city vs the real upcoming City..
Kuna mambo yanachekesha na kusikitisha sana siku hizi Tanzania.This ugandan is really making me laugh eti madam wa tanzania ni make-up tu AnanunuaView attachment 2377155