Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unadhani mradi wa Mwalimu nyarere HEP Dam 2100MW at the cost of $3b unabugia Cement Kiasi gani ,
Na SGR over 1000km u/c ?
New City in Dodoma?
Dodoma Ringroad (120km )??
Kigongo Busisi?
BRT phases ?
Msalato international Airport- Dodoma ?
Madaraja chungu nzima over the entire Country?
Zimekamilika? so far what is the consumption? even though your total consumtion as at now for the last 10 years haifiki nusu ya Kenya kilaza, unadandia train kwa mbele hujui what's the crux of the discussion, nyambaff.,
 
Wakati wanashinda kulazimisha Fallacy yao kwamba Kenya ni majuu kwa Watanzania, kwa ground the vice-versa is shaming them




Wewe utakuwa miongoni mwa wale Watanzania fukara wanaopata chini ya KES 15k kwa mwezi.

-1086848273.jpg
 
Choo cha East Afrika na Kati. Ukipita mitaa ya Kanairo usipotapika basi wewe unaweza pigia msosi ndani ya choo cha stand bila shida[emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiongea hivi mtu anaweza dhani umewai fika Nairobi.
Unabisha kwamba ka Nairobi sio kachafu? The biggest slum in the world ilo wapi? Chokoraa hapa duniani wanapatikana wapi? Nijibu hayo mawili tu alafu nirudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2961][emoji1787]
 
Unabisha kwamba ka Nairobi sio kachafu? The biggest slum in the world ilo wapi? Chokoraa hapa duniani wanapatikana wapi? Nijibu hayo mawili tu alafu nirudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2961][emoji1787]
Umesema ukweli. Ndio hii Nairobi chafu.

1230
daressalaam.jpg
 
Binafsi sioni umuhimu wa kutapanya dola bilioni 10 kuanza bandari nyingine ikiwa tunaweza tumia dola bilioni mbili kuimarisha bandari ya Dar es Salaam ,
Hasa ukizingatia ule upande wa Kigamboni ni virgin kabisa. Kisha tuimarishe bandari ya Mtwara na Tanga kwa dola bilioni moja,
Hapo tunakuwa tumemaliza kabisa
Iyo hela inajenga barabara km ngap? Hatuna barabara kabisa wangechapa dualcarriage way za kutosha,connect wilaya zote tarafa zote...Sijui kwann Hawaoni
 
Watanzania, 2025 tutafute Rais mwingine.. huyu wa sasa hamna kitu, kafeli, ni kama vile hakuna Rais. Sioni watu/viongozi wakiajibika. Mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, viongozi wa taasisi za serikali na umma wengi wao wote wapo kimya. Kiufupi viongozi na wananchi hawana hata enthusiasm na uongozi wa sasa
Hapa shida sio raisi,tutabadili sawa,shida ni Sisi wenyewe suala la kuwajibika sio hadi raisi aseme, Jpm alikua anatumbua na bado walikua wanafanya mambo ya kipumbavu tu hadi alikua anachoka...Watz tunapenda kusukumwa mno...the reason kwann wenzetu wako mbali sio kwasababu ya raisi wao watu tuache tabia ya kusubiri kila kitu tuambiwe ndio tufanye.Hulka ya kiswahili kila kitu polepole inakera mno
 
Iyo hela inajenga barabara km ngap? Hatuna barabara kabisa wangechapa dualcarriage way za kutosha,connect wilaya zote tarafa zote...Sijui kwann Hawaoni
Barabara na bandari si vya kulinganisha ikiwemo EPZ zita-support Bagamoyo port kama masterplan ilivyoainisha!

Watu wasiojua uchumi ndo hawawezi ona umuhimu wa Bandari itakayotoa ajira za kudumu. Uchumi unahitaji angle nyingi ili ukue! As long SGR imejengwa a bigger port will always be needed!
 
Umesema ukweli. Ndio hii Nairobi chafu.

1230
daressalaam.jpg
Na ujue hii standard ina cover like 80% ya Dar is slum, mimi hawaniambii kitu, kila kitu kiko wazi ingia google earth zurura Dar yoote, then do the same for Nairobi, tofauti ni kubwa sana, uswazi is the middle and sir name ya Dar 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom