Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya ni choo wallahi [emoji2961][emoji2961]
image_downloader_1664566338107.jpg
image_downloader_1664566321285.jpg
image_downloader_1664566268344.jpg
image_downloader_1664566219062.jpg
image_downloader_1664566207935.jpg
 
Afadhali kuliko kungojea wawekezaji

Binafsi sioni umuhimu wa kutapanya dola bilioni 10 kuanza bandari nyingine ikiwa tunaweza tumia dola bilioni mbili kuimarisha bandari ya Dar es Salaam ,
Hasa ukizingatia ule upande wa Kigamboni ni virgin kabisa. Kisha tuimarishe bandari ya Mtwara na Tanga kwa dola bilioni moja,
Hapo tunakuwa tumemaliza kabisa
 
Binafsi sioni umuhimu wa kutapanya dola bilioni 10 kuanza bandari nyingine ikiwa tunaweza tumia dola bilioni mbili kuimarisha bandari ya Dar es Salaam ,
Hasa ukizingatia ule upande wa Kigamboni ni virgin kabisa. Kisha tuimarishe bandari ya Mtwara na Tanga kwa dola bilioni moja,
Hapo tunakuwa tumemaliza kabisa
Kuna pesa za watu kwenye huo mradi, so wameamua liwalo na liwe lkn pesa zao lazima wazipate. Maana ukiangalia mantiki ya kujenga bandari nyingine hakuna kabisa.
 
smart kabisa,is it true that large community of kikuyus live there???na sjauliza kwa ubaya sababu pia watz wameoa na kujenga uku Kenya Kwanza Kiambu,wachagga of TZ na Shona of Mozambique wamejenga manyumba smart sana Kiambu na wanaongea lugha mbili pia kikuyu
 
Back
Top Bottom