Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Unaongolea Dar najua.., Dar is slum vs Kisumu city roads.., tukome 😂😂😂😂Kwenye flyover ndio hamtuwezi kabisa, flyover yetu moja kwenu nne.
Unaongolea Dar najua.., Dar is slum vs Kisumu city roads.., tukome 😂😂😂😂Kwenye flyover ndio hamtuwezi kabisa, flyover yetu moja kwenu nne.
Umenikumbusha ziara ya Mama ubeligiji na Ufaransa ilitangazwa neema ya ajabu bado nasubiri 😄😄Hii GoT nayo kichomi tu mara kwa mara sijui kushirikiana mara ooh kuimarisha ushirikiano ukikaa kidogo utasikia serikali imesaini mkataba wa ushirikiano na nchi flani,ila inreal ukiingia deep hakuna chochote cha maana ni sawa sawa ya yale yale ya wawekezaji viongozi wakitoka n'nje ya nchi au wakitembelewa ndani ya nchi na kuambiwa maneno na watu kuwa wanahitaji kuwekeza nchini Viongozi wakubwa wanasimama mbele ya media nakusema kuwa tumepata wawekezaji wengi sana,ukiingia tena indeep hakuna cha uwekezaji uliofanyika zaidi ya GoT kupewa promise for nothing.
Soja anaita sidewalks eti sideways. 🤣🤣🤣🤣 masaibu ya kua primary school dropout.Sideways ndio nini wewe soja?
Saa zingine huwa mnaongea kama watu hawajielewi, hivi longest highway in East and Central Africa ni 110km?Na Dodoma city inajengwa right and left over 50 governmental institutions buildings U/C, the longest highway in East and central Africa 110 km plus Msalato International Airport aside the booming Real Estate! Don't forget the +1200 km of SGR U/C! Fool we r not ur level! We r way above u hunger stricken country!
Magufuli bridge the longest in East and central Africa is U/C!
Huyu soja ni kama alikuwa danda sana shule😂Soja anaita sidewalks eti sideways. 🤣🤣🤣🤣 masaibu ya kua primary school dropout.
Neema kwa kweli zinatangazwa sana ,nyingine imetangazwa leo ya tumbaku lakini baada ya muda kinapita kimya kingi sijui tatizo ni nini?Umenikumbusha ziara ya Mama ubeligiji na Ufaransa ilitangazwa neema ya ajabu bado nasubiri [emoji1][emoji1]
Hongereni sana,hiki kitu ni kizuri. Ni kweli lakini hizi picha za kwenu [emoji7][emoji7][emoji7][emoji847]?JKIA Terminal 1B
View attachment 2369837View attachment 2369838View attachment 2369840View attachment 2369841View attachment 2369842View attachment 2369844View attachment 2369845View attachment 2369846View attachment 2369849View attachment 2369851View attachment 2369853View attachment 2369854View attachment 2369855View attachment 2369856View attachment 2369857
Safi sana.[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Flambeau ni club ya burundi, wap CAFCL
😂😂😂😂 I knew that you must doubt😂😂. That's JKIA.Hongereni sana,hiki kitu ni kizuri. Ni kweli lakini hizi picha za kwenu [emoji7][emoji7][emoji7][emoji847]?
Waburundi hawanaga neno na Tanzania . Wanaonaga ni second homeFlambeau ni club ya burundi, wap CAFCL
JKIA Terminal 1C.Hongereni sana,hiki kitu ni kizuri. Ni kweli lakini hizi picha za kwenu [emoji7][emoji7][emoji7][emoji847]?