Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila Rais wa Kenya lazima aoneshe kielelezo cha Kenya ambacho ni njaa, lazima aletewe chakula cha msaada Ikulu kama kielelezo cha Kenya yn ufukara wa kutisha, ona hapa hadi raha yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_1968925778_680x525.jpg
tapatalk_-1835855104_679x466.jpg
 
Ingekuwa uko na akili ungejua kwamba private sector pays taxes while government doesn't pay taxes to itself. In other terms buildings owned by private sectors are much beneficial to economy than those owned by government.
Kweli wewe ni mkusanya kinyesi cha binadamu, huna akili kabisa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Msiseme hivyo hii SGR inavyotanuka na opportunities zinaongezeka yaani kivutio cha makampuni kuja kuanzisha EPZs, sasa unafikiri katika bandari zote tulizo nazo kuna yenye nafasi kubwa kama Bagamoyo port? Mimi naelewa kwann serikali haitaki kuacha huu mradi! Inaangalia miaka 30 ijayo! Mchina na MuOmani wameondoka the US, France na Japan wamekuja!
Kuna neno nimesema hapo limebeba maana Sana "kwa Sasa". Mkuu kwasasa bandari zetu ziko "under utilized", vipi tunajinga kitu ambacho tutakihitaji miaka 30 ijayo wakati bado Kuna mahitaji ya msingi ya Sasa hivi hatujayatimiza?, bado Barabara zetu hatujazifikisha wilayani na vijijini, bado maji ni shida sehemu kubwa ya nchi, bado kilimo sio cha kisasa na bima ya afya haijawafikia kwa wananchi wote, vipi tutumie pesa nyingi kwa bandari ambapo zile zilizopo tumezifanyia ukarabati mkubwa na bado hazipati mzigo wa kutosha?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
russia haiwezi shindana na nato kwa technology na ubunifu..


..hiyo nayo lazma kieleweke!☝🏽
 
Na ndiyo chanzo cha mto nile kama sijakosea.
Kabisa...Kagera ndo mto mkubwa unaomwaga maji yake humo ziwani...ndo maana upo ndani ya Nile River basin...maana ukikauka Egypt hawana maji tena...


Kagera inaanzia Burundi, inaunganika mto mmoja kutoka Rwanda baadae unaingia Tanzania ndani ya mkoa wa Kagera then unaunganika na mto ngono kuwa mkubwa maradufu..then unaeleka Uganda na kumwaga maji yake ziwa Victoria...
 
Hii GoT nayo kichomi tu mara kwa mara sijui kushirikiana mara ooh kuimarisha ushirikiano ukikaa kidogo utasikia serikali imesaini mkataba wa ushirikiano na nchi flani,ila inreal ukiingia deep hakuna chochote cha maana ni sawa sawa ya yale yale ya wawekezaji viongozi wakitoka n'nje ya nchi au wakitembelewa ndani ya nchi na kuambiwa maneno na watu kuwa wanahitaji kuwekeza nchini Viongozi wakubwa wanasimama mbele ya media nakusema kuwa tumepata wawekezaji wengi sana,ukiingia tena indeep hakuna cha uwekezaji uliofanyika zaidi ya GoT kupewa promise for nothing.
 
Sasa unabisha nini leta mto wako mkubwa kuliko Kagera ukanda wa ziwa Victoria...
Hajasema Kagera sio mto mkubwa unaoingia Ziwa Victoria, in fact kwa maandishi yake amemention Kagera. Amesema apart from Kagera, mito nyengine mikubwa inayoingia Ziwani imetokea Kenya Cherengani hills na Mau forest. Wewe na kiingereza chako hafifu umeelewa vyako.
 
Tanzania inaongoza kwa idadi kubwa ya mifugo Africa

When we convert these people with their thousands of cattle each one individually into cash Tanzania itakuwa na more dollar millionaires like never before, it's so bad western faked valuable papers than resources and succeeded to brainwash masses



 
Back
Top Bottom