Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa wanuka mavi wanatuona sisi wajinga sana eti! Yani wamepokea food donation from WFP by the donor US as their biggest hubby who paid the money to the GoT to save laziest starving East African dunderheads a.k.a Kunyans, then wanabadilisha story eti chakula ni chao, sasa kama chao iweje kipelekwe Ikulu na bendera juu as if hao wanaopelekewa wanapewa bure, c mnasema mnapokea tax collection kubwa in the region nyie? Iweje hao mnaowapelekea muwapeperushie na bendera kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Thika rd to tao. Huyo anatembea ndani ya highway haikosi ni mtanzania. 🤣🤣🤣

20220927_090428.jpg
 
Kwamba ardhi inajilima yenyewe au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na kwamba inajilima kiasi cha kutoa na ziada tunawaletea na nyie mnajaza matumbo yenu mnapata kwenda kwa choo au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa mbn na nyie ardhi haijilimi yenyewe au mmelaaniwa na huyo maulana? Si mnasema mna mito mingi kuliko Tz, iweje mshindwe kuwa na ardhi inayojilima kama sisi mkapata chakula mpk cha kuwapa jirani kama sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo anakuwaga na utapiamlo wa akili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda umuongopee babaako kwamba chakula hakikuwa cha msaada [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2369393View attachment 2369394View attachment 2369395

Yaani hana hata mwezi ila tayari ashaanza kutembeza bakuli! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani hana hata mwezi ila tayari ashaanza kutembeza bakuli! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanataka kubadilisha wimbo eti chakula ni chao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Thika rd to tao. Huyo anatembea ndani ya highway haikosi ni mtanzania. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2369392
Sasa road haina sideways unategemea mtatembea wapi, alafu mbn ni kawaida huko Kenya kuwa na mambo ya ajabu ajabu, over 80% ya roads za Kenya hazina sideways mfano angalia hapa watu wanatembea ndani barabara na wengine juu ya flyover [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_1596393888851.jpg
tapatalk_1595831925685.jpg
tapatalk_1595831934611.jpg
 
Poorest country in the group
Unategemea nini?
Na wanavyozaliana kama panya huku hawana ardhi yoyote ndio watakufa njaa zaidi miaka ijayo



When you xommented did you realize according ti the same report tanzania is doing way worse??? First its in a poorer group and still not doing so well among the low income countries
 
Yaani hana hata mwezi ila tayari ashaanza kutembeza bakuli! [emoji23][emoji23][emoji23]
A very cleaver man …. The 23 billion kenya ingetoa kwa chakula sasa wameiweka kwa ferterlizer wakulima washa anza kupokea subsidized ferterlizer… thus man is giubg to take kenya far ngoja muone
 
Hii GoT nayo kichomi tu mara kwa mara sijui kushirikiana mara ooh kuimarisha ushirikiano ukikaa kidogo utasikia serikali imesaini mkataba wa ushirikiano na nchi flani,ila inreal ukiingia deep hakuna chochote cha maana ni sawa sawa ya yale yale ya wawekezaji viongozi wakitoka n'nje ya nchi au wakitembelewa ndani ya nchi na kuambiwa maneno na watu kuwa wanahitaji kuwekeza nchini Viongozi wakubwa wanasimama mbele ya media nakusema kuwa tumepata wawekezaji wengi sana,ukiingia tena indeep hakuna cha uwekezaji uliofanyika zaidi ya GoT kupewa promise for nothing.
Mwaka saivi tuliahidiwa karbu bilioni 5$ na wawekezaji
 
Back
Top Bottom