Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

S/Sudan wameamua rasmi kuidamp Kunyaland kwa sababu za unafiki
 

Attachments

  • Screenshot_20220923-080513.png
    Screenshot_20220923-080513.png
    111.8 KB · Views: 9
Wakati Kunyaland ina struggle ,Tanzania mambo ni bam bam 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220923-081332.png
    Screenshot_20220923-081332.png
    107.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220922-082005.png
    Screenshot_20220922-082005.png
    91.9 KB · Views: 11
Sitaki kuwatetea.. lkn magari ya design hii ni muhimu kwa watu kama hao wanaozunguka sehem mbalimbali korofi na nzuri.. serikal imewapa kazi (majukumu) lkn pia lazima serikal ijali afya zao.. anaepanda prado (za wakenya) na land cruiser (za watanzania) ni vitu viwil tofaut 😄 .. its lame excuse but kuna utofauti 😄...
nb. Magari hayo yote niliyotaja yapo kwenye familia so naelewa nachoongea 😀
Ni kweli serikali imeingia mkataba na Toyota hata hizi gari serikali inanunua kwa bei rahisi sana lakini 10% hawakosekani kitengo cha procurement
 
Hivi ni kipi usichokielewa?, Hata rais wenu mpya amesema kwamba Kenya mnaishi kuliko uwezo wenu unavyoruhusu.

Nchi hazipaswi kukopa zaidi ya uwezo wake wa kulipa deni, matokeo yake ni kwamba hakutokua na miradi mipya ya maendeleo kwasababu pesa yote itakua ikilipa deni la miradi ya zamani.

Kenya hivi Sasa katika kila Ksh 100 inayokusanywa na serikali yenu
1) 40 inaenda kulipa madeni
2) 52 inaenda kulipa mishahara ya watumishi wa umma
3) 8 ndiyo imebaki kwa akili ya huduma zote za kijamii na miradi ya maendeleo mipya, Sasa hapo Kuna nchi kweli?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unakuwanga illiterate lakini unaopenda kukazana na vitu za watu wamesoma.
 
I know reasons behind it, ila nitaitwa hater..
but i think its obvious reason(s).. anyone anaefatilia hili suala la SGR atazijua
Acha bwana. Naomba unidokezee kidogo mkuu nitoe tongo tongo
 
Msiseme sijawaambia Mombasa huko gari la unga limepata ajari. Tuwahi unga kesho gari la githeri nalo litapata ajali at same place
 
Hivi ni kipi usichokielewa?, Hata rais wenu mpya amesema kwamba Kenya mnaishi kuliko uwezo wenu unavyoruhusu.

Nchi hazipaswi kukopa zaidi ya uwezo wake wa kulipa deni, matokeo yake ni kwamba hakutokua na miradi mipya ya maendeleo kwasababu pesa yote itakua ikilipa deni la miradi ya zamani.

Kenya hivi Sasa katika kila Ksh 100 inayokusanywa na serikali yenu
1) 40 inaenda kulipa madeni
2) 52 inaenda kulipa mishahara ya watumishi wa umma
3) 8 ndiyo imebaki kwa akili ya huduma zote za kijamii na miradi ya maendeleo mipya, Sasa hapo Kuna nchi kweli?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Na wewe ata kama umeandika porojo, tuseme ikue ukweli, unajua hiyo 8 ni ngapi in Tshs? kwa vile tunakusanya zaidi ya mara mbili ya yale mnao kusanya kilaza, na Kenya ni ndogo kwa Tanzania na watu ni wachache difference ya 10 million ukilinganisha, so do the maths..,
 
Safi Sana ,wanawake wa Tanzania wanazidi ku excel kwenye viwango vya juu 👇
Nilidhani ni position in a multi-national, yaani a global entity kumbe ni village airport, fanya utafiti kwanza kabla ya kujigamba 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom