Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




MY TAKE
Huu ni mtego media zote za Kimagharibi zimetega kuskia hatua gani zitachukuliwa na kuanza kampeni za kutibua utalii! Hawa watu ni wapuuzi sana!

Hawa wazanzibar waache unafiki, kwani hao watalii wameoa wazanzibar au ni wenyewe kwa wenyewe?. Hao wamefanya hicho kitendo katika maeneo ya utalii, ambako wanaruhusu shughuli za kitalii zisichanganyike na Mila zao, mbona wanaruhusu wanawake kuvaa na kutembea na nguo za kuogelea katika hayo maeneo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wazanzibar waache unafiki, kwani hao watalii wameoa wazanzibar au ni wenyewe kwa wenyewe?. Hao wamefanya hicho kitendo katika maeneo ya utalii, ambako wanaruhisu shughuli za kitalii zisichanganyike na Mila zao, mbona wanaruhisu wanawake kuvaa na kutembea na nguo za kuogelea katika hayo maeneo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
huu ni mtego babu! wee subiria the Mirror itakavyoshupalia hii issue!
 
Hawa wazanzibar waache unafiki, kwani hao watalii wameoa wazanzibar au ni wenyewe kwa wenyewe?. Hao wamefanya hicho kitendo katika maeneo ya utalii, ambako wanaruhisu shughuli za kitalii zisichanganyike na Mila zao, mbona wanaruhisu wanawake kuvaa na kutembea na nguo za kuogelea katika hayo maeneo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
This is too low from you, an African. Kwann watu wa dizain hii hawafanyi hiv vitu uarabu?
 
Ruto umeficha nini mngoni? 🤔

Screenshot_20220922-212340.png
 
Kenyan schools are rapping people in Arusha at the ongoing East African games

Football Boys Finals
Highway School from Kenya
View attachment 2364687

Volleyball Girls Finals
Kesogon girls Vs Kwanthanze girls. All are from Kenya.
View attachment 2364692View attachment 2364724

Football ladies Final
Wiyieta Girls, Kenya
View attachment 2364744

Rugby 7's Boys Champions
Koyonzo Boys High School, Kenya
View attachment 2364746

Volleyball Boys Finals
Cheptil Boys, Kenya.
View attachment 2364757
Upumbavu mtupu, wanaume hawa hapa
Screenshot_20220921-153339.jpg
 
huu ni mtego babu! wee subiria the Mirror itakavyoshupalia hii issue!
Wazanzibar Wana matatizo Sana, wanakataza makampuni yanayouza "alcohol" kudhamini ligi ya Mpira wa miguu lakini wanaruhusu hivyo vinywaji kuuzwa Zanzibar, yaani kunywa, kuuza alcohol inaruhusiwa lakini matangazo hayaruhusiwi, huo Si unafiki?, wacha waonje kibano.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
This is too low from you, an African. Kwann watu wa dizain hii hawafanyi hiv vitu uarabu?
Kwahiyo Uarabuni kwako ndio SI unit?. Uarabuni hakuna uchaguzi, wanawake hawaruhusiwi kuendesha hata gari, wanawake hawaruhusiwi kupiga kura, unataka tuige demokrasia ya waarabu?, "Are you really serious?"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom