Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,860
- 103,717
Kwani Kisumu airstrip tangu lini inapokea international flights hata iwekwe sentence moja na the might KIA?Nilidhani ni position in a multi-national, yaani a global entity kumbe ni village airport, fanya utafiti kwanza kabla ya kujigamba 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
but ubaki ukijua, Eldoret Int'l Airport upokea Emirates na Qatar AirKwani Kisumu airstrip tangu lini inapokea international flights hata iwekwe sentence moja na the might KIA?
😂😂😂😂😂😂😂😂but ubaki ukijua, Eldoret Int'l Airport upokea Emirates na Qatar Air
🤣 🤣 🤣 I knew this was coming here within minutes. I was shocked it took this long.Msiseme sijawaambia Mombasa huko gari la unga limepata ajari. Tuwahi unga kesho gari la githeri nalo litapata ajali at same placeView attachment 2365654
So cargo? Seriously?
yani, wanafwatilia😳😳 sana mambo ya kenya hawa watu 24/7 ikiongozwa na Geza.. huku sisi hatuna shugli na nchi yao.🤣 🤣 🤣 I knew this was coming here within minutes. I was shocked it took this long.
So cargo? Seriously?
Haibebi mzigo?and wht is ethiopian airlines compared to fly emirates.... aibu ilioje!.. 🙉🙊
Wakunya wenzio wanafahamu each gram of mineral in Tanzania and it's location 😂😂😂yani, wanafwatilia😳😳 sana mambo ya kenya hawa watu 24/7 ikiongozwa na Geza.. huku sisi hatuna shugli na nchi yao.
yani hua tunapata tu tarifa za nchi yao kupitia hapa hapa jf ...pwahahaha🤣🤣🤣
Hiyo video niliiona tu hivi facebook nikaja hapa nikajua lazima niipate. 🤣 🤣yani, wanafwatilia😳😳 sana mambo ya kenya hawa watu 24/7 ikiongozwa na Geza.. huku sisi hatuna shugli na nchi yao.
yani hua tunapata tu tarifa za nchi yao kupitia hapa hapa jf ...pwahahaha🤣🤣🤣
nao watanganyika wanajua hadi bedroom ya uhuru kenyattaWakunya wenzio wanafahamu each gram of mineral in Tanzania and it's location 😂😂😂
View attachment 2365769
yani pia mm.. at this jf u get all kenyan staff firsthand even ahead of fb and citizen tv🤣🤣Hiyo video niliiona tu hivi facebook nikaja hapa nikajua lazima niipate. 🤣 🤣
Wew ambaye unamjua mpaka mchizi mox unajifany hufuatilii bongoyani, wanafwatiliasana mambo ya kenya hawa watu 24/7 ikiongozwa na Geza.. huku sisi hatuna shugli na nchi yao.
yani hua tunapata tu tarifa za nchi yao kupitia hapa hapa jf ...pwahahaha![]()

Nilisema tufanye maombi au matambiko kwa hawa ndugu zetu, hali zao ni mbaya mno. Hii sio poa, watu wanasukuma ndinga kumbe hawana ugali?😂😂
She is an MD in a local airport, period.Kwani Kisumu airstrip tangu lini inapokea international flights hata iwekwe sentence moja na the might KIA?
KwahKwahiyo unataka kusema lazma iwe Toyota Land cruiser VX? Gari brand nyingine kama KIA ama Hyundai haiwezi ku-offer same comfort?Sitaki kuwatetea.. lkn magari ya design hii ni muhimu kwa watu kama hao wanaozunguka sehem mbalimbali korofi na nzuri.. serikal imewapa kazi (majukumu) lkn pia lazima serikal ijali afya zao.. anaepanda prado (za wakenya) na land cruiser (za watanzania) ni vitu viwil tofaut 😄 .. its lame excuse but kuna utofauti 😄...
nb. Magari hayo yote niliyotaja yapo kwenye familia so naelewa nachoongea 😀