Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jozi hawafi njaa kama ninyi wala hawana deni la trillion 9 kama ninyi kiasi mnashindwa hata kucover 30% ya budget yenu bila misaada na mikopo

Level yenu ni majirani zenu wa karibu kabisa Somalia na Sudan
Kumbe hauijui SA., full kilaza, usijifiche nyuma ya jozi, Kenya covers 80% ya budget wacha porojo kisa umeshikwa., mko pekeyenu kwa ujinga, uzembe na ushamba ukanda huu.., 😂 😂 😂
 
Kumbe hauijui SA., full kilaza, usijifiche nyuma ya jozi, Kenya covers 80% ya budget wacha porojo kisa umeshikwa., mko pekeyenu kwa ujinga, uzembe na ushamba ukanda huu.., 😂 😂 😂
Nimekuambia SA hawafi njaa wala hawana deni la 90% la GDP 9 trillion failed state
 
Kumbe hauijui SA., full kilaza, usijifiche nyuma ya jozi, Kenya covers 80% ya budget wacha porojo kisa umeshikwa., mko pekeyenu kwa ujinga, uzembe na ushamba ukanda huu.., 😂 😂 😂
Ruto karithi mikoba ya omba-omba uhuru vyema 😅😅😅

First leg in UNGA is begging for pennies

 
Kwanini mnapenda kulazimisha undugu na watu walio mile million 10 mbali na ninyi wakati Somalia na Sudan mnao? Kwanini hata msijifananishe na Ethiopia?
Dawa imekuingia hadi kwa mishipa, picha zinajieleza haina maana uongeze maneno kilaza.., swali wameuliza rahisi sana;
"Which is the odd one out among the three cities?" macho tu ndio wahitaji, na jibu ni neno moja tu, jina la jiji 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ,
Jozi..,
1663855268434.png


Nairobi
1663855373172.png


Dar es Salaam (Kabul Afghanistan)
1663855488955.png
 
Dawa imekuingia hadi kwa mishipa, picha zinajieleza haina maana uongeze maneno kilaza.., swali wameuliza
"Which is the odd one out among the three cities?" macho tu ndio wahitaji, na jibu ni neno moja tu, jina la jiji 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ,
Jozi..,
View attachment 2364883

Nairobi
View attachment 2364885

Dar es Salaam (Kabul Afghanistan)
View attachment 2364887
Usiondoe kwenye reli we fukara 😅😅😅

Bado nipo kwenye deni liloshindikana 🤣

 
Jozi hawafi njaa kama ninyi wala hawana deni la trillion 9 kama ninyi kiasi mnashindwa hata kucover 30% ya budget yenu bila misaada na mikopo

Level yenu ni majirani zenu wa karibu kabisa Somalia na Sudan
Kukosa akilia ni kitu m'baya sana. Are you aware that South African public debts is more than all East African countries debts combined?
 
Kukosa akilia ni kitu m'baya sana. Are you aware that South African public debts is more than all East African countries debts combined?
Huyo ni mbu mbu mbu, yaani ni boya kishenzi, the idiot is clueless on what he posts, bora ame respond tu, hapa ni entertainment zone 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kukosa akilia ni kitu m'baya sana. Are you aware that South African public debts is more than all East African countries debts combined?
Mtatubu mwaka huu 🤣
Ruto kasema uhuru kakomba cents zote
Nchi imefilisika 😅😅😅

 
Usiondoe kwenye reli we fukara 😅😅😅

Bado nipo kwenye deni liloshindikana 🤣


Ulikimbia kule kujikomboa.., sisi tutapambana na vya kwetu, nothing is at standstill, things are moving, najua hauwelewi economics, when it says gov't is broke haujui maana., liboya, rudi shule bana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Huyo ni mbu mbu mbu, yaani ni boya kishenzi, the idiot is clueless on what he posts, bora ame respond tu, hapa ni entertainment zone 😂 😂 😂 😂 😂
Kama wewe ni Civil servant kwenye serikali hii ya ruto ukadai mshahara Mbinguni sababu pesa za kukupa hawana na kukopa hawawezi 😅😅😅

 
Kama wewe ni Civil servant kwenye serikali hii ya ruto ukadai mshahara Mbinguni sababu pesa za kukupa hawana na kukopa hawawezi 😅😅😅


Kumbe wewe ni kilaza kuruka.., tuko mwisho wa mwezi as from 25th watu wanapata mishahara.., yaani wewe fyata tu, unajiaibisha bure😂😂😂😂😂😂😂
 
Kumbe wewe ni kilaza kuruka.., tuko mwisho wa mwezi as from 25th watu wanapata mishahara.., yaani wewe fyata tu, unajiaibisha bure😂😂😂😂😂😂😂
Bila mkopo kunyaland haipo nanii 😅😅

 
Back
Top Bottom