Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unaenda mitandaoni ku search some random clips to console your ego
these are absolutely two different cases,
Hao umeleta are protesting agains higher costs of foods and food products at large,
Nyie mnaandamana sababu ya bei ya unga wa mahindi (Unga wa ugali to be specific )

A staple food

You and I know that ongezeko la bei kwa ksh.10 kwenye kilo ya unga wa mahindi is a Kenya’s national-wide crisis.

Yaani bei ya Unga ilikuwa ni Agenda muhimu wakati wa campaigns za uchaguzi

Then, sisi huku huwa hatupambanii wanasiasa, let them fight among themselves and whoever becomes the winner takes the lead, wanasiasa wetu huku wote wanafanana.
Naona pia mmejifunza kwetu, a reason hamjachinjana this time around. You are now ignoring Raila with passion. That’s growth.
Sawa umeshinda🤣🤣
 
Leo nimepita barabara ya mandela road kutoka tazara kwenda vetenary (kumfata client wetu wa tanesco..kiwandan)..
1. Mbele kidogo ya sokoni, kuna eneo kubwa kushoto limevunjwavunjwa na wamezungushia fensi ya mabati ya blue.. wanajenga nn pale? Na katika kuulizializia wadau wanasema eneo lote lile ni la Manji kalichukua eneo lake, lkn bado sijajua wanajenga nn

2. Wakat narudi kutoka vetenary kwenda tazara, upande wa tazara hukohuko nimeona yale mabango, yanayotoa taarifa kuwa brt phase 3 inaanza ujenzi🔥

La muhimu, ni hilo eneo mbele ya sokon wanajenga nn pale? Mana ni eneo kubwa sana
 
Jengo refu zaidi Dar-es-Salaam, TPA Tower 162MView attachment 2362520
lakini bado GTC inai _fuck, sio?
Screenshot_20220920-134325_Chrome.jpg
 
Leo nimepita barabara ya mandela road kutoka tazara kwenda vetenary (kumfata client wetu wa tanesco..kiwandan)..
1. Mbele kidogo ya sokoni, kuna eneo kubwa kushoto limevunjwavunjwa na wamezungushia fensi ya mabati ya blue.. wanajenga nn pale? Na katika kuulizializia wadau wanasema eneo lote lile ni la Manji kalichukua eneo lake, lkn bado sijajua wanajenga nn

2. Wakat narudi kutoka vetenary kwenda tazara, upande wa tazara hukohuko nimeona yale mabango, yanayotoa taarifa kuwa brt phase 3 inaanza ujenzi

La muhimu, ni hilo eneo mbele ya sokon wanajenga nn pale? Mana ni eneo kubwa sana

Yes, Jana nilitokea Airport mabango kibao yanayotoa tahadhari ya Mwendo na Kuonyesha ujenzi unaendelea yamewekwa, Pia yale machuma ya Makonda yametolewa kwenye median.
 
Back
Top Bottom