Wabongo wachache sana wanaopenda maendeleo ya taasisi wengi ukishampa kazi siku pili anaanza kuiba,nawapenda watu kama akina Tido Muhando,Nehemiah Mchechu wanaupendo na taasisi wanazoongoza unaona kabisa maendeleo.NHC ilianza kurudi ilikotoka lakini sasa unaona improvement kubwa.Vijana tujifunze kuchapa kaxi na kuendeleza taasisi
