Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


WAKENYA MNAKULA MAINDI TYU AKUNA VYAKULA VINGINE.. USIKOROMEE WATU WANAO KULISHA UTAKUFA... SUPER POWER UKU njaa

Yaani Wakunya wanatutegemea kwa kila kitu, wana bahari, mito, maziwa lakini bado wanategemea samaki kutoka Tanzania

 
Dares slum.
36-501x750.jpg
181-400x265.jpg
22046498_2155016471191209_111704014321925244_n.jpg
6520438deb7793cabc3c3c900b8d7fc1--slums-tanzania.jpg
 
Yaani picha ni mbovu, nikizivuta kwa karibu pako sawa, huwezi linganisha na huu uchafu bana.., kwakweli nyie ufukara ni jina la kati na la mwisho.., haufichiki!!.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1662644812670.png

1662645887347.png

1662644948546.png

1662644911477.png

1662645864721.png

World bank hawakukosea walipowataja baadhi ya mataifa tano zenye watu wengi masikini wa kutupwa Afrika, linaonekana wazi wazi, nikama muharo, huwezi kufungia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
1662646058966.png
 
Mzee point ni kwamba hizo ni block house sio tope na shacks kama zenu, mbona wewe kichwa ngumu kama mawe 😂😂😂😂
Alafu ni mamilioni ya haya nyumba kwa jiji lote, mko hovyo sana kwa wingi na upana, wacha tubaki na slums zetu in secluded places, hizi zenyu hazina mpaka, zimemwagika jiji nzima😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Juzi tu wakifanya sensa yao
Alafu watakuambia hiyo sio slum 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , CCM ilaaniwe kabisa! umewadanganya watanzania eti wako vizuri, kwao hakuna slums, ni nyumba tu hazina mpangilio, lakini ukiziangalia kwa ground balaa!1 Dar is slum dwellers are the definition of poverty in a big way! kama raiya wa kawaida ndio wanaishi hizi standards hovyo zilizo tapakaa kote kote😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom