Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani mbona unapenda kujikaza hivyo, na kulazimisha fikra zako uchwara?, jikubali, go back and check haya yote nili post kilaza.., tokea CBD hadi nje.., mko hovyo wacha kujifariji, jikubali yaishe.., bado unaumwa?.., find something else to argue about tokea leo kuendelea.., unajirudia rudia sana na hauna jipya ya kuongezea ama kupunguza, ukweli umebaki pale pale.,
 
sasa kila wakati unasema moshi hiki moshi kile.. ila picha zake hatuvioni.!?
please heb viskume tuvione kama pia moshi ni pasafi sana kamavile kisumu ama chigali ama addis
Empty domo domo, ata uweke evidence jamaa linateseka kweli, atapinga tu.., ako na wivu wa kike πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Fursa gani? Mwendazake alikuwa hovyo hajui uchumi,wajamaa na uchumi wapi na wapi?

Ndio maana pambio zilizidi.
 
Kitu kingine cha kushangaza kila mtu analalamika maisha magumu, si mfanyabiashara, mfanyakazi wala mkulima.

Kipindi cha Magu hakukuwa na mfumuko mkubwa wa bidhaa, ila sasa hivi bidhaa moja imeongezeka mara mbili halafu wenyewe wanaimba anaupiga mwingi.

Reli ya Isaka Mwanza tunaambiwa ni asilimia 9 mpaka sasa hivi, hivi ni nini kinaendelea, asilimia hazisogei kabisa. Kuna namna hapa bila shaka.
 
Kwnn hujaweka picha kama alizoweka Sama boy 255 uliogopa nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…