Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeona ni kubwa, lakini sio developed vile, sehemu kubwa ni hovyo, kama tu Dar.., wacha niweke picha zote humu, tokea CBD hadi maeneo nje ya CBD, nipe mda kidogo..,
Dar usiiguse kabisa mana kuna vitu kibao vipo Dar huwezi kuviona East and Central Africa lkn hakuna kitu kipo ka Nairobi ukakosa kukiona Dar hata ulie huo ndio ukweli.
 
Dar usiiguse kabisa mana kuna vitu kibao vipo Dar huwezi kuviona East and Central Africa lkn hakuna kitu kipo ka Nairobi ukakosa kukiona Dar hata ulie huo ndio ukweli.
Wachana na mimi niko Mwanza kwa sasa.., hizi fikra zako ka wahadithie blue collar wenzako hapo airport, yani kuna miji Europe ambazo najua kuna vitu viko Dar na haviko kwa hizo city, so Dar ni babe kuziliko, nyambaff, potelea mbali 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hata sielewi, hao wasukuma wako na majina yao ya hovyo hovyo tu🤣🤣🤣 hiyo stendi yao ni kali mno lakini jina ni Nyamhongolo bus terminal
Nyamhongolo😂😂😂😂😂😂, bora inapendeza, ni kama mtu tajiri sana ama professor flani maarufu lakini jina la ajabu.., huwa inakua poa tu.., ila ukipewa jina ugly na wewe pia uko hovyo kimaisha ndio mbaya.,
 
Sama boy 255 Mwanza hiyo apo.., ni wide na iko organized around CBD area, ila ukiendelea kusonga nje utaona watu wanajenga kiholela tu..,
1661259125359.png

Around CBD area..,
1661259164266.png

1661259205448.png

1661259328106.png

1661259364357.png

1661259232010.png

1661259381768.png

1661259394198.png

1661259411022.png
 
Sama boy 255 kama uko na tablet ama laptop utaziona picha za satellite clear kuliko kutumia simu.., simu ni ndogo kuonyesha picha vizuri.,
 
Mwanza ni kubwa mzee we si uko na google Earth .? Pitia tu uione mwenyewe
acha tuku _fuck na uongo, mwanza sio kubwa jinsi mnavyo isifia kila kukicha, eti mara hoo.. sijui 'mwanza ni kubwa kushinda kisumu mara nne!?'🤔
na ila hali kwa ground, ni size moja☝🏽 na kisumu ama eldoret... ata nakuru imeizidi kwa ukubwa..
yatafari hayo 🤔🤔

hii google earth hapa, msema ukweli siku zote.. hakuna kuhepa. see for yourself.. 👇🏽

Screenshot_20220808-062606_Earth.jpg
 
Hujielewi

Kisumu ina

Universities ngapi?
Referral hospitals ngapi?
How big is it's Airport, Bus Terminal, Railways?
Crucial economic activities zipi?
National GDP input how much?
Population kiasi gani?
Developed area, how big?
Hotels and Lodges, which standard?
How's poverty rate?
The list is endless.......


Huwezi kusema zinachuana kwa vijipicha vya ubavu ubavu

Developed area ya kisumu hata Singida ni kubwa
Wewe ndio hujielewi,asante
 
acha tuku _fuck na uongo, mwanza sio kubwa jinsi mnavyo isifia kila kukicha, eti ni kubwa kushinda kisumu mara nne!?🤔
na ila hali kwa ground, ni size moja☝🏽 na kisumu ama eldoret... ata nakuru ni kubwa kuishinda..
yatafari hayo 🤔🤔

hii google earth hapa, msema ukweli siku zote.. hakuna kuhepa. see for yourself.. 👇🏽

View attachment 2332503
Juu ya huo mwanga ni ilemela na kwa huo mwanga ni CBD na baadhi ya maeneo ya karibu na CBD
 
A
acha tuku _fuck na uongo, mwanza sio kubwa jinsi mnavyo isifia kila kukicha, eti ni kubwa kushinda kisumu mara nne!?🤔
na ila hali kwa ground, ni size moja☝🏽 na kisumu ama eldoret... ata nakuru imeizidi ukubwa..
yatafari hayo 🤔🤔

hii google earth hapa, msema ukweli siku zote.. hakuna kuhepa. see for yourself.. 👇🏽

View attachment 2332503
Ata hivo bado huwezi linganisha ukubwa wa hapo chini(mwanza ) na uko juu (kisumu)
 
"Eastlands" ya Kisumu.,
1661261941457.png

1661261851058.png

1661261863508.png


Mamboleo Interchange.., Kisumu
1661262005406.png


Kondele Flyover.., Kisumu
1661262261428.png


Kisumu Airport/Busia road Interchange..,
1661262370243.png

1661262324561.png

1661262357700.png


Nyamasaria Flyover., Kisumu
1661262474313.png
 
acha tuku _fuck na uongo, mwanza sio kubwa jinsi mnavyo isifia kila kukicha, eti mara hoo.. 'mwanza ni kubwa kushinda kisumu mara nne!?'🤔
na ila hali kwa ground, ni size moja☝🏽 na kisumu ama eldoret... ata nakuru imeizidi ukubwa..
yatafari hayo 🤔🤔

hii google earth hapa, msema ukweli siku zote.. hakuna kuhepa. see for yourself.. 👇🏽

View attachment 2332503
🤣🤣🤣 Wacha kuwa mpumbavu wa kutaka kulinganisha Mwanza na hizo tiny town of yours
 
Back
Top Bottom