Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alete aeriel view unaweza zirai kuona nyumba ya mjukuu wa seyyid said imezungukwa na nyumba za kiswahili. .
kuna maeneo mengi sana dar aerial view zake ni balaa.......sema ....asilimia kubwa hatujapiga picha hayo maeneo....hatuna huo utaratibu
 
Shoga !! watoa wapi nguvu za kuiponda nchi yetu??
tushakuona kwa mbali watafuta Shari ila sisi hatuna mda huo, mtasema hadi kiama nchi yetu ishasimama wima ,mtaishi kwa kutusakama kwa majungu na vijembe ila sisi tupo hapa twabarizi kwa raha zetu.
aisee mrembo una mashairi na ngonjera nzuri sana nimekupenda sana
 
Meanwhile, Montave is proceeding faster than i ever expected
Here are a few photos i took, and forgive my addiction for cars coz i just can't resist taking a pic of a good car when i spot any, and as always nairobi doesn't dissapoint.
A maybach and a g wagon featured.
View attachment 591848 View attachment 591849
20170919_133218.jpg
 

Attachments

  • IMG-20170919-WA0012.jpg
    IMG-20170919-WA0012.jpg
    60.6 KB · Views: 30
sababu kubwa yangu ku reply messages zako za awali ni sababu nilisema kuwa sita kuwa niki reply comments za watz wasio kuwa na akili...wale watz wa povu, hasira na renders...😀😀😀uskue kama hao watu bro...mimi nakuheshimu sana...wewe ukweli unausema bila ushabiki...sasa usifate nyayo za wale watu wa povu, hasira, renders...tayari hawana heshima toka kwa wakenya ila wewe atleast...
acha upuuzi wakumdanganya na kumlegeza ndugu yetu hapo......nyie hamna kitu chochote cha maana hapo nairobi labda mtuzidi kwa kuwa na machokoraa
 
Back
Top Bottom