Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sababu kubwa yangu ku reply messages zako za awali ni sababu nilisema kuwa sita kuwa niki reply comments za watz wasio kuwa na akili...wale watz wa povu, hasira na renders...😀😀😀uskue kama hao watu bro...mimi nakuheshimu sana...wewe ukweli unausema bila ushabiki...sasa usifate nyayo za wale watu wa povu, hasira, renders...tayari hawana heshima toka kwa wakenya ila wewe atleast...
Sawa it's okey. ..
Ila haya mambo yanatia mizuka sana kwa kweli...Nadhani Ni sahihi nyie kuvimba lakini tutawapiga manundu tu msijali haiwezekani kila kitu muoshe lazima tukomae nanyi ...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Pinnacle ni mwiba wa kila mtu iyo mkiiweza haina ubishi

Airport hata yetu mwakani itabadili sura

Yaliobaki hapo hayana mashiko kwa kweli

Plastic bag na usafi sio kitu cha kuzungumzia izo ni mambo ndogo sana!!
Light rail ni project ambayo ndio naiskia kwako labda sina updates. ....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Pinnacle itakuwa na ghorofa ngapi?
 
yaani when tanzania is thinking of doing, Kenya already did....a good example is
the SGR is in Nairobi from Mombasa....nyie hata kilomita 10 bado
the Lamu port is already at 3 berths...dont know what happened to Bagamoyo port
Vipi kuhusu BRT mmeshafanya au bado mnabasi yenu Yale ya kuchongesha
 
ofcourse i know what expensive means.😱😱.see this nigga??😀😀.. well, in this case, it means the basic cost of goods, rent, transport etc are high..this is a bad thing right?...however, top cities tend to be expensive because they are very attractive to both foreign investors and tourists alike and that is what makes Nairobi,Lagos, Casablanca, Johannesburg, Pretoria and Cairo expensive...dont expect the most attractive cities to both tourists and investors to be cheap...just go to London, Paris or New York and ask for a 300 ml Fanta drink....lol! it goes for as much as ($7) Ksh 700.... these cities usually have the best real estate too...they are leading cities....
in short, cost of living is high at the same time, standard of living is low
 
ni vizuri umeuliza....haya zifuatazo ni sababu za maumivu zaidi kwenu...
1.Tallest glass skyscrapers in Africa are being built; all in one place, Upperhill...by 2020, there will be seven Nairobian buildings in the top ten tallest..so it will be a battle of Nairobi and Jobrug only.
2. A light rail project from JKIA is on the table
3. JKIA will be ferrying most passengers from East Africa to the USA...meaning the aiort will be receiving more than 10 million passengers annually (in 2016 the number was 7 million against Dare salaam's 2.5 million)
4. We have started a program that is aimed at cleaning Nairobi streets...a plastic ban is also in place
5. Roads like Outer Rung road and numerous bypasses are nearing completion (others like Uhuru double decker highway are on the table)
kwa mtazamo wangu, after the pinnacle,montave and avic are through, even Cape town will be on its knees leave alone Dar..therefore, this battle will be meaningless and irrelevant
Renders as usual thanks bro😀😀😀
I love renders bro
 
Pinnacle ni mwiba wa kila mtu iyo mkiiweza haina ubishi

Airport hata yetu mwakani itabadili sura

Yaliobaki hapo hayana mashiko kwa kweli

Plastic bag na usafi sio kitu cha kuzungumzia izo ni mambo ndogo sana!!
Light rail ni project ambayo ndio naiskia kwako labda sina updates. ....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
pinaccle kama wanajenga mwambie akuoneshe wapi wanajenga akikuonesha nitag plz 😀😀😀😀
 
kiukweli, usafi hio ni jambo la kawaida...ila Pinnacle Montave Avic and light rail will render this battle irrelevant...how will you compete with these skyscrapers? ndio nakwambia, Cape Town itakua pabaya by 2020 sembuse Dar...
Nioneshe wapi wanajenga hzo renders plz bro😀😀😀
Bahati nzuri sisi wabongo kama unavofahamu
 
yaani when tanzania is thinking of doing, Kenya already did....a good example is
the SGR is in Nairobi from Mombasa....nyie hata kilomita 10 bado
the Lamu port is already at 3 berths...dont know what happened to Bagamoyo port
Sisi hatujengi gari moshi sisi tunajenga one of the modern electric train with a speed of 160km/ hr
Hahahha show us lamu aisee 😀😀😀😀 at 3 berths wallah nataka kuiona now na ukionionesha wewe mwanaume nasubiria hapa😛
 
Sawa it's okey. ..
Ila haya mambo yanatia mizuka sana kwa kweli...Nadhani Ni sahihi nyie kuvimba lakini tutawapiga manundu tu msijali haiwezekani kila kitu muoshe lazima tukomae nanyi ...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
akikuonesha pinnacle na montave wanapojenga na lamu port walipofika nitag plz bro😀😀😀
 
pinaccle kama wanajenga mwambie akuoneshe wapi wanajenga akikuonesha nitag plz 😀😀😀😀
I have beem to upper Hill today and you can't even begin to imagine the kind of activity there... It's Sealed but heavy machinery on place, i couldn't take a photo coz the banners are so high you can't see through. But all you need to know is, work is underway.
 
I have beem to upper Hill today and you can't even begin to imagine the kind of activity there... It's Sealed but heavy machinery on place, i couldn't take a photo coz the banners are so high you can't see through. But all you need to know is, work is underway.
excuses nazo......
 
I have beem to upper Hill today and you can't even begin to imagine the kind of activity there... It's Sealed but heavy machinery on place, i couldn't take a photo coz the banners are so high you can't see through. But all you need to know is, work is underway.
Pics plz sio porojo😀😀😀😀😀😀😀
Kama huna basi thanks for renders😛😛
Always love renders
 
Chemchem lake manyara tz
IMG_0236.JPG
 
Back
Top Bottom