Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Na badoo acha wakale wakiamshe huko 😅Eish watu wamelimana ile mbaya. Chebukati amepigwa hadi akatoroka.
The best 007 hii vita ndio ulikuwa unataka sio?
Na badoo acha wakale wakiamshe huko 😅Eish watu wamelimana ile mbaya. Chebukati amepigwa hadi akatoroka.
The best 007 hii vita ndio ulikuwa unataka sio?
No, yaani Ruto walimchezea Odinga 😆😆Ruto is the president. Now let me see what he will do to Uhunye na Odinga
umesahau pia na Atwoli🤣Ruto is the president. Now let me see what he will do to Uhunye na Odinga
was it realy staged or match-fixing!? 🤔Ruto is the president. Now let me see what he will do to Uhunye na Odinga
Umenisahau na mimi. Mimi nasupport Odinga. Nchi ya Kenya chini ya Ruto sina imani nayo. Ruto ataharibu hii nchi. Mark my words. Corruption ya hawa watu ipo juu sana. Ninukuu in future. Sioni Kenya ikiwa King wa hii region kwa muda mrefu. Uchumi wa Kenya sijui hatima yake itakuwa vipi. Maoni yangu tu.Napenda kuwapa pole hawa watu, sijui hali zao zikoje saiz. Kuleni Glucoseee 😀View attachment 2324654View attachment 2324655View attachment 2324656View attachment 2324657View attachment 2324658
Acha kujitetea mapema 😅😅Umenisahau na mimi. Mimi nasupport Odinga. Nchi ya Kenya chini ya Ruto sina imani nayo. Ruto ataharibu hii nchi. Mark my words. Corruption ya hawa watu ipo juu sana. Ninukuu in future. Sioni Kenya ikiwa King wa hii region kwa muda mrefu. Maoni yangu tu.
Umenisahau na mimi. Mimi nasupport Odinga. Nchi ya Kenya chini ya Ruto sina imani nayo. Ruto ataharibu hii nchi. Mark my words. Corruption ya hawa watu ipo juu sana. Ninukuu in future. Sioni Kenya ikiwa King wa hii region kwa muda mrefu. Uchumi wa Kenya sijui hatima yake itakuwa vipi. Maoni yangu tu.
Kali mzae🤣🤣🤣Kwani dunia hii unayokaa imeshikiliwa na kamba?
sgr itafika Uganda kweli?Umenisahau na mimi. Mimi nasupport Odinga. Nchi ya Kenya chini ya Ruto sina imani nayo. Ruto ataharibu hii nchi. Mark my words. Corruption ya hawa watu ipo juu sana. Ninukuu in future. Sioni Kenya ikiwa King wa hii region kwa muda mrefu. Uchumi wa Kenya sijui hatima yake itakuwa vipi. Maoni yangu tu.
Usiwaumbui basi NDINDA 😂😂😂 hawapendi ujue wanaumia sanaKwa Jinsi haya malori mawili yalivyoifanyia hii Taa ya KijaniNoma sana.View attachment 2324632View attachment 2324631
Wanauana tayar vita ishaanza huko 😂😂