Hio ni bridge. Mbeleni ilkua causeway lakini wanaibomoa ku allow marine life chini yakeHakuna kitu kinaitwa causeway bridge, causeway haiwezi kuwa bridge kamwe, so nisisikie mtu anaita causeway a bridge.
Kwaivo kama hatujapiga kwa mikono yetu haipo? Akili mgando hiziPicha tu hyo kaka, jamaa wapo hodari kupost picha zilizowekwa shedo, waambie wapige picha kwa mikono yao eneo hilo alafu wapost humu.
Fool Mbeleni ilikuwa au itakuwa? U r supposed to say kabla/nyuma ilikuwa!Hio ni bridge. Mbeleni ilkua causeway lakini wanaibomoa ku allow marine life chini yake
Kwani Kuna nchi iliyokatazwa kuzalisha mbegu au vifaranga vyake yenyewe?, Ni wazi kwamba vifaranga vya kisasa ni bora vinafaida kiuchumi, jaribu kuchukua hao kuku wa kisasa uwapamdishe na uwache watotoe uone vifaranga vitakavyozaliwa, hakuna aliyekatazwa kufanya hivyo.Kwani cross breeding imefanyilka mara ya kwanza duniani kipindi cha GMO wacha kuwa shallow kwenye haya maneno kuto-germinate kunafanywa deliberately na GMO firms in the name of monopolistic commercialisation of seeds tena mbaya baada ya kz-patent natural seeds!
Si wewe ndo unajua hii maneno peke yako! Kuna sababu Tanzania inayolisha the region imekataa GMOs in food growing as inataka ku-remain independent n food secure.
Wacha kuchanganya madesa unataka kusema vifaranga vile hazitokani na mayai ya kuku? Kuku akiachwa kuhatamia mayai aliyotaga hatatotoa kifaranga? Na kifaranga kikiachwa kikue hakitarudia reproduction cycle?
BTW what do u know about utotoaji wa vifaranga hebu elezea GMO inatumika kivipi maana I have realized kuna kitu huna ufahamu nacho!
Hakuna kwa vile utotoaji si GMO kama ulivyodai! Usigeuze topic jibu swali langu la utotoaji wa vifaranga na GMO! Ukiwa hujui kitu nyamaza na si kudai utotoaji wa vifaranga ni GMO! Wacha kupotosha!Kwani Kuna nchi iliyokatazwa kuzalisha mbegu au vifaranga vyake yenyewe?, Ni wazi kwamba vifaranga vya kisasa ni bora vinafsida kiuchumi, jaribu kuchukua hao kuku wa kisasa uwapamdishe na uwache watotoe uone vifaranga vitakavyozaliwa, hakuna aliyekatazwa kufanya hivyo.
Hivi bado unachukulia mfano wa Tanzania kulisha Kenya Kama mafamikio wakati nimekupa mifano ya Japan na Uholsnzi kulisha Dunia?. Kama Tanzania tutatumia Elimu ya GMO, tutazalisha mara x50 ya hivi Sasa
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lakini jamaa anajiita milionea kwa hela hiyo
View attachment 2316315east ring road expansion coming in well
Pole sana [emoji16][emoji16]
Daah kaz bado sana hapaWenzetu wana makampuni makubwa sana ya real estate na well developed housing finance wanachukua ardhi kubwa wanajenga mji watu wananunua kwa mortgage.
Uganda is more political stable aisee [emoji2][emoji2]Uganda is more political and economic stable than kunyaland! What is he bragging about? Huge Debts written all over matakoni?
Una mawazo finyu sana ww lol eti mwamba angekuwepoHata hivyo pia hawana maajabu yoyote hao wazungu, Bongo tu tumezubaa, ila Nina uhakika kama mwamba angekua hai tungeshuhudia yote haya tena kwa ukubwa ambao tengeshangazwa wengi wetu, sipati picha zile plan za kuibadilisha magomeni sunna mpaka Kinondoni zote zile kuanzia panda shuka hadi manyanya na viunga vyake, ila viongozi tuliopo nao sasahiv ni wapiga domo tu, hata sijui hizo plans ziliishia wapi pia [emoji1751]
Hehehe najitokeza,kulinganisha gharama hakufanyi mue level moja na Jozi,mbuzi mwenyewe,uko serious unamsikilzia uyo choko anaongea kama demu ufala gani huuHuyu African American analinganisha maisha ya Johannesburg na Nairobi halafu mbuzi fulani huwa zinasema kwamba Nairobi haiwezi kutajwa katika sentensi moja na Johannesburg.
Kwani huwezi kulinganisha maisha ya Turkana na New York kama umeishi maeneo hayo mawili? Mbona ni logic ndogo tu!Huyu African American analinganisha maisha ya Johannesburg na Nairobi halafu mbuzi fulani huwa zinasema kwamba Nairobi haiwezi kutajwa katika sentensi moja na Johannesburg.
Anafikiri Jozi ni level yaoKwani huwezi kulinganisha maisha ya Turkana na New York kama umeishi maeneo hayo mawili? Mbona ni logic ndogo tu!
Tatizo sio diamond kuperform kunyaland, tatizo ni the style diamond used to land and take off from that shithole, the expensive logistics are all matter on all these shenanigan debates taking over kunako kunyaland, the levels even their president doesn't come across (without stealing people's money)