Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyinyi mnavyokuwa mna ban kampuni za Tz kuja kuwekeza Kenya huwa mnafuata sheria zenu?
Na wanasema wazi wazi kabisa kwamba hakuna kampuni za kitanzania zitawahi fanya kazi Kenya..mkuki kwa nguruwe.

Tucheze fair game ili atakayeshinda ashinde kihalali.
 
Embu tupia picha ya hiyo AC unit hapo nyumbani kwako Eastern United States tujiridhishe kidogo
Before I do that, tell me where exactly in New York and London you lived.

Now I know for a fact that you’re a jobless fraud. You probably don’t even own a passport. You want to see a picture of the AC unit in my house? Why would I give you the satisfaction? You haven’t even stepped foot in this part of the world. You know absolutely nothing about the weather here. I’ve been arguing with a damn fool this entire time.
 
Dodoma alone can feed entire kunyaland

FY0V7XbXwAIPm4_.jpeg


 
Kwahiyo mnaenda kununua kulekule mlipowajengea, akili za wapi hizi? Yani unauwezo wa kipesa mpk unaenda kuchimba swimming pool kwa jirani alafu kesho unarudi kulipa kiingilio kwa jirani ili uogelee.
Jirani ndiye ametulipa tumjengee. Kengen imelipwa na serikali ya Ethiopia kuichimbia geothermal wells. Kengen haikutumia pesa yake kuchimba hizo geothermal wells.
 
Wewe render c huwa zinakuumiza macho?
Sio mimi nimeweka render mzee. Mimi sijawahi kuweka render. Nilikuwa nazungumzia newspaper article niliyoweka ambayo inaeleza kwa undani jinsi Waturuki wanajenga factories sita ndani ya Naivasha SEZ.
 
Ila jengo la abiria lenye hadhi ni muhimu zaidi kwa sasa maana kama sikosei uwanja umeongezwa urefu upo around 2100 m! Umbali wa km 50 toka KIA si mbali hivyoo kama watu wanavyojiaminisha dunia nzima viwanja vikubwa viko nje ya majiji na isitoshe barabara ile kwenda KIA inapanuliwa na pia reli ya Moshi-Arusha haipiti mbali metro rail inaweza kuanzishwa! Unless turuhusu miradi ya ki-Chato!

Mimi binafsi nadhani Tanga city inahitaji uwanja wa kisasa nayo tena ukizingatia miradi mikubwa inayokuja yaani pipeline mbili ya gesi na ya mafuta na the largest crude oil terminal in east and central Africa! Kutakuwa na safari nyingi sana toka Kampala/Hoima kuja Tanga na pia kutoka Kigali, Bujumbura na eastern DRC kwa ajili ya port! Uwanja wa KIA japokuwa upo Kilimanjaro umewekwa strategic katikati ya Moshi town na Arusha city kuhudumia hizi sehemu mbili usisahau Mererani town stone throw away inajaribu kukuzwa pia!
Kwa jinsi mnavyopokea watalii kwa wingi hakuna uwanja unaostahili kupanuliwa Tanzania kushinda Arusha. Sijui kwa nini unapinga mapendekezo ya Tz_one ya kurefusha runway ya Arusha airport.
 
The situation on the ground



MY TAKE
Mykolaiv and Odessa (that is mainly russian loyalist) remain to be captured and Ukraine to be officially landlocked!
Yaani hawa Russia ni nuksi kuna mchezo unachezwa kijanja janja sana wanataka kuizunguka UKRAINE mwisho wa siku wajikute kati kati,,
Hii ni noma
 
Back
Top Bottom