Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pedestrian reasoning hiiπŸ‘†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, eti kitabu kutungwa nchi husika!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, having a better educational system has got nothing to do with kutungwa kwa kitabu per'se, though kuna vitabu vingi vya different subjects written by Kenyan scholars, from research methods to mathematics, etc. na hilo sio hoja, lakini hizi fikra zako unaziokotaga wapi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., unanichekesha asubuhi, yaani your arguments ni kujaribu kutetea Tanzania ionekane iko sawa ata kama sivyo kiukweli, u hardly base your points on reality and facts, unajitoa ufahamu tu wazi wazi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Naomba tubishane kwa hoja...
Elimu ya kenya ipo mbele kwa Tz kivipi?

Nimesoma na Wakenya wengi waliokuwa wanatoka shule za kenya kuja kusoma Tanzania tena mmoja wao ni Medical doctor pale Kenyatta hospital,mwingine ni MD wa kampuni kubwa sana hapo kenya(Sitoitaja jina kwa usalama wake ila ni company kubwa sana) Na hao wote nimesoma na kuanzia form one mpaka form four wengine tulimaliza nao mpaka six,darasani hawakuwahi kuingia ata top 10 japo walikuwa vizuri kwenye mombo ila kila class ovyo sana

Mwaka huu nilikuwa kenya nimegundua wakenya wengi wanaleta watoto wao Tz wapate elimu,nilipo uliza wakanijibu kuwa hapa kenya kuna elimu ya english tu ila mwanafunzi akimaliza hana ajira ni bora nimpeleke tanzoo akapate elimu ya kumsaidia.
Elimu ya kenya inachoizidi tanzania ni kuzungumza na kuandika lugha za mabwana wenu(Slave mentality) lakini ukimchukua mwanafunzi wa tz na ke halafu ukawaacha waoneshe ujuzi wao utagundua kuwa Vijana wa TZ wapo juu sana
 
Capitalism has its negative sides. Capitalism has worked for Kenya better than Socialism has worked for Tanzania. That is why Tanzania, China and Russia abandoned socialism and ran to capitalism.
Are you stupid, since when China, Tanzania and China abandoned socialism?, do you know what Socialism mean, and what Capitalism is?.

Tell the audience, where life is tough in Kenya or Tanzania, where people have enough food, water, peace housing and access to human basic needs?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hata kama mna sababu nzuri ya kuwachukia wazungu, the fact that mnawachukia wazungu is the reason why they will continue investing in other African countries that embrace them and tolerate them. Usitegemee mzungu kuset up headquarters zake Tanzania ukizingatia historia yenu ndefu ya kuwapinga na kuwadhihaki na kuwakejeli. Hata kama waliwafanyia figisu kwenye majani chai, wasamehe na msonge mbele. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.

Wachina walifanyiwa figisu na bado wanafanya biashara nao. Japan walipigwa nuclear bomb mbili na bado ni best friends na Marekani. Wacheni kuwa na akili mgando na victim mentality eti mlinyanyaswa na wazungu. Hapa Kenya wazungu waliuwa zaidi ya 50,000 Kenyans wakati wa vita vya uhuru vya Mau Mau na bado tunaendelea na uhusiano nao.
Ndiyo maana tunaitwa Wabongo (Watu wenye akili kubwa) sisi sio watu wa kuendekeza matatizo...yaani hatupendi kujipendekeza ovyo kwa hao mabwana zenu kwanza na kizuri zaid hatujawahi na hatutowahi kulia njaa ata siku moja,sisi ndio taifa ambalo mungu amelichagua ili siku moja ije kuwa mfano kwa wafrika wengine
 
Naomba tubishane kwa hoja...
Elimu ya kenya ipo mbele kwa Tz kivipi?

Nimesoma na Wakenya wengi waliokuwa wanatoka shule za kenya kuja kusoma Tanzania tena mmoja wao ni Medical doctor pale Kenyatta hospital,mwingine ni MD wa kampuni kubwa sana hapo kenya(Sitoitaja jina kwa usalama wake ila ni company kubwa sana) Na hao wote nimesoma na kuanzia form one mpaka form four wengine tulimaliza nao mpaka six,darasani hawakuwahi kuingia ata top 10 japo walikuwa vizuri kwenye mombo ila kila class ovyo sana

Mwaka huu nilikuwa kenya nimegundua wakenya wengi wanaleta watoto wao Tz wapate elimu,nilipo uliza wakanijibu kuwa hapa kenya kuna elimu ya english tu ila mwanafunzi akimaliza hana ajira ni bora nimpeleke tanzoo akapate elimu ya kumsaidia.
Elimu ya kenya inachoizidi tanzania ni kuzungumza na kuandika lugha za mabwana wenu(Slave mentality) lakini ukimchukua mwanafunzi wa tz na ke halafu ukawaacha waoneshe ujuzi wao utagundua kuwa Vijana wa TZ wapo juu sana
Nimekaa na wakikuyu, ukiacha wizi wizi wakishamba hawana kitu kichwani. Na hii ndiyo sababu wanaogopa sana ushindani wa kibiashara. Sasa hivi Rostam wanamletea figisu kwakuwa hawamwezi kwenye biashara huria. Magu aliwaweza, ilikuwa ukimwaga ugali na yeye anamwaga mboga.
 
Naomba tubishane kwa hoja...
Elimu ya kenya ipo mbele kwa Tz kivipi?

Nimesoma na Wakenya wengi waliokuwa wanatoka shule za kenya kuja kusoma Tanzania tena mmoja wao ni Medical doctor pale Kenyatta hospital,mwingine ni MD wa kampuni kubwa sana hapo kenya(Sitoitaja jina kwa usalama wake ila ni company kubwa sana) Na hao wote nimesoma na kuanzia form one mpaka form four wengine tulimaliza nao mpaka six,darasani hawakuwahi kuingia ata top 10 japo walikuwa vizuri kwenye mombo ila kila class ovyo sana

Mwaka huu nilikuwa kenya nimegundua wakenya wengi wanaleta watoto wao Tz wapate elimu,nilipo uliza wakanijibu kuwa hapa kenya kuna elimu ya english tu ila mwanafunzi akimaliza hana ajira ni bora nimpeleke tanzoo akapate elimu ya kumsaidia.
Elimu ya kenya inachoizidi tanzania ni kuzungumza na kuandika lugha za mabwana wenu(Slave mentality) lakini ukimchukua mwanafunzi wa tz na ke halafu ukawaacha waoneshe ujuzi wao utagundua kuwa Vijana wa TZ wapo juu sana

I think it would be best for you to put facts on the table for all to see, we have soo many tanzanians in kenyan schools, universities etc
 
Tony254 mfumo wa elimu kenya una kitu gani extra quality ambacho kwa kitu hicho basi unafkiri mko na mfumo mzuri wa elimu than ours, Kwasababu for what I know hakuna kitabu cha chemistry, physics, biology, commerce, book-keeping or even history kilichotungwa Kenya hapo, heb eleza hapa ni what makes you think mko na mfumo bora wa elimu kuliko sisi.? Au na wewe ni wale wazee wa English as Language of instructions from primary level of education.? Ndio ubora wa mfumo wa elimu.?
Hao ni wazee wa kujazana ujinga na kuamini kwamba wao wapo vizuri kuzidi wengine, kamwe hawataki kukubali mapungufu Yao, bado hadi Leo wanatetea tabia ya viongozi wao kutumia lugha ya kiingereza katika shughuli za serikali wakati wakenya wengi hawakijui vizuri, bado wanatetea matumizi ya lugha za makabila katika shughuli za vyama vya siasa na katika redio na vyombo vyengine vya habari wakati nchi Yao Kuna tatizo kubwa la ukabila, na ukijaribu kuwashauri wanaendelea kutetea ujinga wao

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sijazungumza kuhusu mfumo wa elimu. Mimi nimezungumza kuhusu mifumo ya uchumi. Nimesema kwamba ujamaa uliwarudisha nyuma sana.
Hivi ni nchi gani katika Afrika ambayo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujenga Taifa lenye umoja, usawa, amani na uchumi wenye kuwashirikisha wananchi wengi kuzidi Tanzania?, taja kitu kimoja ambacho Kenya Kama Taifa imezidi Tanzania katika kuwahudumia raia wake

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Naomba tubishane kwa hoja...
Elimu ya kenya ipo mbele kwa Tz kivipi?

Nimesoma na Wakenya wengi waliokuwa wanatoka shule za kenya kuja kusoma Tanzania tena mmoja wao ni Medical doctor pale Kenyatta hospital,mwingine ni MD wa kampuni kubwa sana hapo kenya(Sitoitaja jina kwa usalama wake ila ni company kubwa sana) Na hao wote nimesoma na kuanzia form one mpaka form four wengine tulimaliza nao mpaka six,darasani hawakuwahi kuingia ata top 10 japo walikuwa vizuri kwenye mombo ila kila class ovyo sana

Mwaka huu nilikuwa kenya nimegundua wakenya wengi wanaleta watoto wao Tz wapate elimu,nilipo uliza wakanijibu kuwa hapa kenya kuna elimu ya english tu ila mwanafunzi akimaliza hana ajira ni bora nimpeleke tanzoo akapate elimu ya kumsaidia.
Elimu ya kenya inachoizidi tanzania ni kuzungumza na kuandika lugha za mabwana wenu(Slave mentality) lakini ukimchukua mwanafunzi wa tz na ke halafu ukawaacha waoneshe ujuzi wao utagundua kuwa Vijana wa TZ wapo juu sana
Huyo Hana hoja, Bora jibishana na Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Naomba tubishane kwa hoja...
Elimu ya kenya ipo mbele kwa Tz kivipi?

Nimesoma na Wakenya wengi waliokuwa wanatoka shule za kenya kuja kusoma Tanzania tena mmoja wao ni Medical doctor pale Kenyatta hospital,mwingine ni MD wa kampuni kubwa sana hapo kenya(Sitoitaja jina kwa usalama wake ila ni company kubwa sana) Na hao wote nimesoma na kuanzia form one mpaka form four wengine tulimaliza nao mpaka six,darasani hawakuwahi kuingia ata top 10 japo walikuwa vizuri kwenye mombo ila kila class ovyo sana

Mwaka huu nilikuwa kenya nimegundua wakenya wengi wanaleta watoto wao Tz wapate elimu,nilipo uliza wakanijibu kuwa hapa kenya kuna elimu ya english tu ila mwanafunzi akimaliza hana ajira ni bora nimpeleke tanzoo akapate elimu ya kumsaidia.
Elimu ya kenya inachoizidi tanzania ni kuzungumza na kuandika lugha za mabwana wenu(Slave mentality) lakini ukimchukua mwanafunzi wa tz na ke halafu ukawaacha waoneshe ujuzi wao utagundua kuwa Vijana wa TZ wapo juu sana
Those were average students, there is no bright Kenyan who can come to Tanzania for studies, unless their parents are living in Tanzania.
 

I think it would be best for you to put facts on the table for all to see, we have soo many tanzanians in kenyan schools, universities etc
Wanasheria wengi wakubwa hapo Kenya ni zao la University of Dar, Pro.Mutua, Mutua Kilonzo, majaji wakuu wastaafu wa Kenya, John Garang, Yoweri Museven, na viongozi wengi hapa Afrika

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Eti kuna kondoo zinafananisha Dodoma na ushubwada unaojengwa zaidi ya miaka kumi na hawajafika hata asilimia moja.
Hiyo ni maajabu! [emoji23][emoji23][emoji23]

Dodoma has no economic value compared to Tatu. Tatu is an industrial city, Dodoma is an administrative city.
 
Those were average students, there is no bright Kenyan who can come to Tanzania for studies, unless their parents are living in Tanzania.
Mutua Kalonzo, Prof. Mutua, Jaji mkuu mstaafu Kenya. Wewe taja mtanzania mmoja pekee tunayemfahamu aliyesomea Kenya[emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mutua Kalonzo, Prof. Mutua, Jaji mkuu mstaafu Kenya. Wewe taja mtanzania mmoja pekee tunayemfahamu aliyesomea Kenya[emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tena ni creme de la creme Kunyaland! Amos Wako pia! Wanasheria wengi nguli wa Kunyaland wamepitia UDSM! Huku wengi wetu kada tofauti na sheria wamepitia Makerere! Ni nadra kuskia big people walisoma Kunyaland!
 
Nimekaa na wakikuyu, ukiacha wizi wizi wakishamba hawana kitu kichwani. Na hii ndiyo sababu wanaogopa sana ushindani wa kibiashara. Sasa hivi Rostam wanamletea figisu kwakuwa hawamwezi kwenye biashara huria. Magu aliwaweza, ilikuwa ukimwaga ugali na yeye anamwaga mboga.
Sio Wakikuyu wanamzuia huyo muarabu wenu Rostam kupata leseni. Kuna muarabu mwenzake raia wa Kenya anaitwa mohamed Jaffer ambaye anamiliki gas terminal kubwa Mombasa na huyo pengine ndiye aliyemwekea muarabu wenu breki. Hii ni vita vya waarabu wawili. Wachana nao sisi waafrika hata hatuna pesa ya kumiliki gas terminals hizo. Wacha waarabu wapiganie leseni wenyewe. Hutapata hata shilingi moja kutoka kwa Rostam hata ukimtetea. Mohamed Jaffer ukitaka kumfahamu soma hapa.
 
Uhuru park renovation close to completion
IMG_102747_25722.jpeg

IMG_102800_25722.jpeg

IMG_102751_25722.jpeg

IMG_102755_25722.jpeg
 
Sio Wakikuyu wanamzuia huyo muarabu wenu Rostam kupata leseni. Kuna muarabu mwenzake raia wa Kenya anaitwa mohamed Jaffer ambaye anamiliki gas terminal kubwa Mombasa na huyo pengine ndiye aliyemwekea muarabu wenu breki. Hii ni vita vya waarabu wawili. Wachana nao sisi waafrika hata hatuna pesa ya kumiliki gas terminals hizo. Wacha waarabu wapiganie leseni wenyewe. Hutapata hata shilingi moja kutoka kwa Rostam hata ukimtetea.
Hawezi shindana na Rostam mwenye mpaka meli ya kubeba PLG kutoka middle east!
 
Back
Top Bottom