Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya Mnazngua sana ..
Screenshot_20220722-155718_Samsung%20Internet.jpg
 
TFF wanatakiwa wafanye jambo karume . Eneo lipo mjini sana kiwanja kikubwa lakini kipo under utilities , wajenge uwanja mkubwa pamoja na maduka kwa nje maana demand ya milango ya kufanyia biashara maeneo yale ni kubwa
Pia kale kajengo ni haibu tupu,watafute pia eneo lingine la HQ ikiwezekana waende dodoma siku za mbeleni
 
Bongolala, I know you want to sound knowledgeable but you aren't. In fact, you are not even close to being knowledgeable about this issue. Is it not the role of the government to control the prices of basic goods and services within the country? Kama bei ya unga ilipanda kuna shida gani serikali kufanya subsidy ila bei ishuke? Ama wakenya waendelee tu kununua unga kwa bei ya juu kisa wewe umesema?

Even with that high price, were Kenyans not still buying maize flour? Ulisikia walisusia kununua Unga kisa bei ipo juu leading to losses in supermakets and retail shops? Stop beating around the bush and using examples za mambo hata huelewi. Mfumuko wa bei ikifanyika ni jukumu la serikali kufanya juu chini ili kudhibiti bei and subsidy is one of the mechanisms used. Stick to posting Kibera photos please coz that's what you know best!
Njaa haina baunsa hamuwezi vumilia kununua unga msile. Labda mfuko ulitoboka
 
Picha za upande upande kama kawa, we all know that after good 20yrs GoK have succeeded to build only 1% of the so called 3 city, most of the area in that village is so bare or simply you can say it's uncovered. So, go and lie to your grandma.
aisee.. mshikaji wangu The best 007, mzee wa pande pande.... haya basi ndo hizi picha zingine za pande pande

Screenshot_20220722-161415_Gallery.jpg
Screenshot_20220722-161433_Gallery.jpg
Screenshot_20220722-161805_Gallery.jpg
Screenshot_20220722-161814_Gallery.jpg
Screenshot_20220722-161520_Gallery.jpg
Screenshot_20220722-161615_Gallery.jpg
Screenshot_20220715-045459_YouTube.jpg
Screenshot_20220715-045412_YouTube.jpg
 
Shamba la bibi lazima tulikamue. Tanzania wakijua wewe ni mkenya huwezi kosa kazi, hata kama hakuna nafasi wataitafuta mpaka itokee. Alafu mkenya halipwi sawa na mtanzania hata wafanane kimasomo. Endeleeni kutu tajirisha wakati kenya ndugu zenu wanasugua masufuria ya vyombo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
Sasa kama hujui hata viwanda wakenya ndo vitongo kwa mabosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njaa haina baunsa hamuwezi vumilia kununua unga msile. Labda mfuko ulitoboka
Ndio maana nimekuuliza huyo kilaza mwenzako ataje ni lini wakenya walisusia kununua unga kutokana na bei kuongezeka. Msaidie kilaza mwenzako
 
Tanzania ndio source kubwa ya remittances za Kenya hapa Africa, ikifuatiwa na South Africa, kwa duniani nzima.

World wide the biggest sources of remittances for Kenyans are
1)USA
2)UK
3)Canada
4)UAE
5)Tanzania
6)Australia
7)South Africa
8) Germany
9)China
10)The Netherlands

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tunawalisha hao [emoji1787]
 
Back
Top Bottom