Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

street walk ka hizi bongo ni nadra sana. hawawezi tuonesha. kisa.. ni uswazi mtupu.
nairobi ni uzunguni ama half-london as SSH would say
Hebu Tazama hii video uangalie Dar es Salaam ilivyo acha kujifungia huko kenya mathare..

Na hapa sio City centre..https://youtu.be/ZFLpHXodRjc
 
Because secondary school ni ya wanyama ama? Mbona NIT insingepartner na Alpha, hamna proper experience na flight simulators [emoji1787]
Kenya school of flying have a redbird full motion twin engine flight sim, NIT ilianza flight school recently nikama haina enough fleets for training students.View attachment 2298330
NIT haiwezi partner na Alpha kwasababu ni levels tofauti za Elimu, wewe vipi?, wacha kuchekesha watu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nope, nyie ni washamba and u lack international exposure, mpo mpo tu kizembe pale mitaani, like Hobbits in the Lord of the Rings movie., so don't confuse ushamba wenu na kutokujua mambo as being "not giving a F**ck" kinda stance., mmezubaa nani, yaani ukiuliza mtanzania wakawaida randomly kwa street about current affairs utadhani ni chizi, laana tupu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo ulipozungumzia lord of the rings tayari nimesha ku analyze wewe ni mtu wa aina gani too sad ku argue na wewe ni kazi bure.
 
Flying lessons they do them in kenya, get a kenyan license and then start conversion to tz wacha excuse
Those are partnerships we dont dictate we also have flying courses at NIT but it is a choice had it been a government school obviously wange partner na NIT but as for private they can choose to partner with anyone they wish
 
Nimeshangaa sana kuona wameweka Ugali na Mboga kwenye bakuli za steel, aisee!

Ila nilichogundua ni kuwa, Wakenya wengi wana maisha magumu sana na since wanazaliwa kwenye maisha magumu wanayaona maisha ya ufukara ni kawaida sasa uki plus a prejudicial sense kuwa wako juu yetu kimaisha na kama nchi inakua ni rahisi kwa Mwehu kama dyfre kujidhalilisha na kupost picha za aibu kiasi hiki.

Aisee!



Angalia hizo pieces za Nanasi na Watermelon ni ndogo mno ili kila mtu apate piece moja. Angalia pia nyama picha za chini, ni Nyama za kuchemsha, yaani hata mafuta ya kutosha kukaanga nyama ni shida!
Na chapati juu ili angalau ijazie tumbo. Wakati siye huku chapati twalia supu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Uongo mtupu, nyinyi haya mambo hamna ulazima nayo mnapaswa mpambanie chakula kwanza not this fake life.
Mkuu, Kenya ni Nairobi na elites tu, hao wengine huko Turkana, Matsabiti, Porkot, Kibera & others na vijijini, hawana nafasi kabisa Wala sio muhimu hapo Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Msa hawajui kupika huko lamu ndio ovyo kabisa,nikiwa mdogo likizo tulikua tunakuja msa huko,late Mama yangu alikua anaachiwa jiko kabisa,na huu utu uzima kuna cousin wangu kaolewa huko lamu nilienda kumtembelea,huo mchele wao tu TZ hata kwenye vitumbua awapikii,binafsi nilikula tu vyakula coz damu yangu inakula hivyo vyakula,kenya kupika hamjuiView attachment 2298108View attachment 2298109View attachment 2298110View attachment 2298112
Hii nyama na ile aliyopost dyfre ni tofauti kabisa,angalia kwa macho inapendeza na kuvutia [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Uongo mtupu, nyinyi haya mambo hamna ulazima nayo mnapaswa mpambanie chakula kwanza not this fake life.
Sasa wewe umeana hapo ni Somalia mjukuu? ulitamani kuona watu wenye njaa, pole sio makosa yetu, Nairobi iko ilivyo na hela tunayo, umevuna nyanya tununue zisije zikaoza ukakosa hela ya kununua chupi na chumvi?, zoea Kenya😜😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom