TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Figisu coz mnaogopa competition.....majinga nyie ruhusuni muone mnavyokarishwaTuliwaambia hakuna kampuni yenu inaweza toboa kenya[emoji23][emoji23]
Figisu coz mnaogopa competition.....majinga nyie ruhusuni muone mnavyokarishwaTuliwaambia hakuna kampuni yenu inaweza toboa kenya[emoji23][emoji23]
vitu zingine itabidi mmezoea hukuKa nini????? 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Nope, nyie ni washamba and u lack international exposure, mpo mpo tu kizembe pale mitaani, like Hobbits in the Lord of the Rings movie., so don't confuse ushamba wenu na kutokujua mambo as being "not giving a F**ck" kinda stance., mmezubaa nani, yaani ukiuliza mtanzania wakawaida randomly kwa street about current affairs utadhani ni chizi, laana tupu😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Alafu huku bongo hata ordinary citizens nobody cares,hata kwenye media hakuna kinachozungumzwa kuhusu huyo incoming PM wa UK kwamba ana descendant yaKenya na Tanzania 🇹🇿,why,we Tanzanians r not bootlickers and don't give a fvck on issues that don't put ugali on our tables!
Raw Nairobi., thanks Miss Trudy., 🔥👏👏
Flying lessons they do them in kenya, get a kenyan license and then start conversion to tz wacha excuseThose are partnerships humchagulii mtu partner.
Huyu ndiyo alisemastreet walk ka hizi bongo ni nadra sana. hawawezi tuonesha. kisa.. ni uswazi tupu.
nairobi ni uzunguni ama half-london as SSH would say
Because secondary school ni ya wanyama ama? Mbona NIT insingepartner na Alpha, hamna proper experience na flight simulators [emoji1787]ungejua Alpha ni secondary schools, usingekengeuka! So aviation school Kunyaland ina-partner na secondary schools in Tanzania kama level yake? Mbona isi-partner na institutes/colleges/universities?
Aviation - Alphaschools
Alpha Schools conducts Aviation programs through the Aviation club to create awareness and prepare the youth for careers in the this fieldalphaschools.ac.tz
Mama Boya kama Boya.
Hadi football pitch noma sana
wacha kujiabisha bana! Hao wanafunzi wa secondary hawaendi kusoma chochote cha maana zaidi ya school tours! Hamna avation courses ziko offered Alpha nursery, primary na secondary schools waje kufuata training huko!Because secondary school ni ya wanyama ama? Mbona NIT insingepartner na Alpha, hamna proper experience na flight simulators [emoji1787]
Kenya school of flying have a redbird full motion twin engine flight sim, NIT ilianza flight school recently nikama haina enough fleets for training students.View attachment 2298330
Heshimu mama kilaza.,Huyu ndiyo alisema View attachment 2298325
Hivi ndivyo Mteule wa Mwendazake anayoacha!
CC: Sukumangangs
ajaribu Uganda!Kama unahasira meza boga!! By the way siro atakumbukwa kwa utendaji kazi uliotukuka kuanzia makazi 'vitendea kazi 'haki jamii 'vituo na hali ya ulinzi hakuna kama yeye 😂😂 katoka kanda maalumu kaingia kanda maalum meza wembe sasa we mkabila!!
*By the way naskia rostam azizi anazinguliwa na wakunya kuhusu gesi.....