Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo chapati hazijapikwa vizuri na from the look zinaonesha ukizila ni kama unatafuna chupa, yaani ni ngumu.

These are dog's foods.
 
kenya chakula ni kingi tu ungalijua.. mwanzo huko niliopo chakula mingi inaenda waste jili ya mabaki

Kwanza hizo bakuli za chuma zinatumika kwenye detention centers kama vituo vya Police na Gerezani.

Hakuna Nyumba nimeingia nimekuta watu wanakuna kwenye bakuli za steel, yaani hata kuweka ugali kwenye sahani ni changamoto??

Mna hali mbaya sana ya kimaisha.
 
IMG_2941.jpg
 
[emoji28][emoji28] yenyewe mko nyuma kama sasa hivi ndo mnataka kuweka floodlights kwenye markets, kwanza in dar [emoji1787]
Our markets are bracing for 24hrs operation. Wageni wengi from east, southern and central africa do their shopping in kariakoo hivyo 24hr operation itasaidia kupunguza cost ya wafanyabiashara wanaonunua vitu kariakoo for export.
 
Ni sehemu gani ya Kenya ambayo hawajui ugali au ni kwenye hiyo sherehe ambako hata Tanzania vijijini ugali haupikwi kwenye sherehe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehheeee wallahi Wakenya wana view nzr za bongo kuliko sisi wenyewe [emoji8][emoji7][emoji23][emoji23] [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1241][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hawa watu ni wapiga picha hodari wanapiga aerials nzuri na pia za upandeupande wanazipiga vizuri pia.
 
Kwanza hizo bakuli za chuma zinatumika kwenye detention centers kama vituo vya Police na Gerezani.

Hakuna Nyumba nimeingia nimekuta watu wanakuna kwenye bakuli za steel, yaani hata kuweka ugali kwenye sahani ni changamoto??

Mna hali mbaya sana ya kimaisha.
Huku Tz hizo sahani na bakuli tunawekea mbwa na paka chakula.
 
Back
Top Bottom