Yaani ninyi kwenye kupika bado Sana [emoji28][emoji28][emoji28] sasa hiki chakula anakula binadamu au mbwa?
Mifupa yote hii ya kazi gani kwenye food for human consumption? Tanzania ni steak tu huwezi kuta hii kitu na ukiwawekea hivi watakususia, watu wanatakiwa wale kwa kurelax na kijiko na sio kupambana na mafupa ya dogi mezani, itakua vita hiyo sio eating [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] akitoka hapo mikono yote mafuta na kula mpaka akunje shati [emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2297436