Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1983D77B-FA39-471E-B62E-926B5E9DE791.jpeg
F9914BB0-23B1-4BB3-8A86-672CCE57B07C.jpeg
64A89348-4125-4672-AE4C-EB77AFBA4A74.jpeg
FD35E399-F00B-454F-AC39-3B15666F5BF6.jpeg
 
Kama anataka kuwapiga angewapiga saa hii kabla hawajajoin NATO. Wakishajoin NATO hawezi kuwagusa kwa sababu ya article 5 ya NATO. Natumai unafahamu article 5 ya NATO inasemaje?

Cc ichoboy01
Yeah! Ila Putin hii vita imemuonyesha jinsi alivyo dhaifu kutoka siku 3 hadi miezi 5,vita si mchezo na jeshi si lelemama wasemavyo jeshini. [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Upo kama mimi, na hata nikigundua vyombo vimetumika kupikia hiyo mboga bado nitaona kinyaa.
Kumbe tuko pamoja, ule utelezi tu yaani hamu yote inakata huwa ninawaza mdudu mmoja ambaye ananitia kinyaa, huyu nadhani kwangu ni namba moja hapa duniani.
 
Yeah! Ila Putin hii vita imemuonyesha jinsi alivyo dhaifu kutoka siku 3 hadi miezi 5,vita si mchezo na jeshi si lelemama wasemavyo jeshini. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hii vita putin anatumia kama siasa ya kiulimwengu na ujue hii vita inaenda kuangusha NATO na wao washajua tayari kua wamezidiwa akili😂😂😂
 
Hapo hawataji EA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanzo nilikuwa sijawaelewa. Sasa hivi ndio nimepata kujua, kumbe kizuri chao peke yao kwa kuwa kimefanyika kwao, ila chetu kizuri ni cha wote...hiki chakula ni cha wageni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa mkuu, mimi ni wa St. Kayumba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilijua tu utapiga nyundo [emoji122][emoji122][emoji122][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Wadanganyika najua wako locked wanaawatch presidential debate za Kenya because CCM is boring and uninspiring. Tanzania media na tv hakuna presidential debate na haitawahai kua sababu rais wao hawajui kuongea English na CCM ni mafala hawapendi freedom of speech. Siasa za Danganyika ni boring na hazina mvuto hato kidogo.
FYI sijui naibu rais wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]



View attachment 2296975

Mbona umetype kwa rough kama unakimbizwa 😂😂..
mara tunawatch debate zenu za kiingereza, mara hatufanyi presidental debate sababu hatujui kiingereza.. sasa kama hatujui kiingereza tunaangalia debate zenu za kiingereza za nn?
Pili, kwan presidental debate lazima iwe kwa lugha ya kiingereza? Acheni utumwa wa kilugha nyie wakunya
 
Hii vita putin anatumia kama siasa ya kiulimwengu na ujue hii vita inaenda kuangusha NATO na wao washajua tayari kua wamezidiwa akili[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu? Siyo kwamba yeye ndio inamcost sana [emoji846][emoji846]
 
Back
Top Bottom