joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahaha, it will take 50yrs for Nairobi to look like this.This is how Mombasa road will look in future courtesy of expressway
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahaha, it will take 50yrs for Nairobi to look like this.This is how Mombasa road will look in future courtesy of expressway
Sio kwamba wanaomchngia Ukraine ndio dhaifu?Yeah! Ila Putin hii vita imemuonyesha jinsi alivyo dhaifu kutoka siku 3 hadi miezi 5,vita si mchezo na jeshi si lelemama wasemavyo jeshini. [emoji3][emoji3][emoji3]
Kama mjinga Putin ameshindwa kupiga Ukraine, atawezana na NATO?Sio kwamba wanaomchngia Ukraine ndio dhaifu?
kumbe pia bongo kuna marastafari.. !🤔
hawa mafala nadhani wameanza tu copy polepole.... hii ni tabia hasa ya kikenya
wajahkoya and king sellasie, i and i..
jah rastafari✊🏽✊🏽
kwani haujui Jomo Kenyatta is one of the Messiahs apart from Haile Sellasie.. ata nenda Kingston Jomieca sshvi ukaulizie.. pale ata kuna Kenyatta Avenue, ata mwana wa Joseph Hill anaitwa Kenyatta Hill.. etcWe jamaa fala kweli, urastafari umeanzia kunyaland?
Wakati wakenya wakishindia githeri kama chakula kikuuMsosi umekamilika kasoro mboga moja tu hapo hiyo ya katikati ndio huwa sigusi. Ila ni kitu konki sana, nchi ya neema hii [emoji39][emoji39][emoji2956][emoji2956]
Hahahaha Tanzania urastafari upo hata kabla ya kunyata kwanza mataifa ya kirastafari ni socialists kama hujuikwani haujui Jomo Kenyatta is one of the messiahs . nenda kingston jomieca ukaulizie.. pale ata kuna kenyatta avenue, ata mwana wa Joseph Hill anaitwa Kenyatta Hill.. etc
Naona ukosefu wa chakula na njaa umekufanya uwe kichaa, kwani huo utamaduni umeanzia Kenya?kumbe pia bongo kuna marastafari.. ![emoji848]
hawa mafala nadhani wameanza tu copy polepole.... hii ni tabia hasa ya wakenya manati.. wraping dandora and kangemi massive
wajahkoya and king sellasie, i and i..
jah rastafari[emoji1421][emoji1421]
Wamechukua mkopo kugharamia ugali kwa mwezi mmja wa uchaguzi baada ya hapo kilio kinarudi kule kule 😆😆😆😆Kenya bhuanaaa 😀😀😀😀
Baada ya Tanzania kupata loan IMF kwa mgongo COVID-19 na Russia/ Ukrain war na wenyewe wameamua wapite mule mule 😀😀😀😀
nikama russia wanaweza ata piga nato. russia wana zana nyingi za kinuklia ata kuzidi nato🤔 cc TonyKwahiyo hapa Tony tumsubirie Putin kuwafurumushia mabomu maana alisema wakijoin NATO watajuta [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeniongezea point mkuu,Hawa tumbili wa Mwendazake walikuwa wanajigamba kwamba Mtu wao ndio alianzisha..27000 ilianza Toka REA ilipoanza kusambaza umeme vijijini chini ya fedha MCC chini ya Profesa Muhongo