Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakuuliza wewe, je haya majengo mliyabomoa? Na kama hamjayabomoa basi kamuongopee babaako Kibera View attachment 2292801
Ni 2022 mjukuu., dadeki
1657968455813.png

1657968798712.png

1657968831837.png

1657968909730.png

1657969181204.png

1657969198973.png
 
Uhusiano mwema kati ya Kenya na Somalia umerudi. Kenya sasa itaruhusiwa kuexport miraa kelekea Somalia. KQ pia itaruhusiwa kuoperate Nairobi-Mogadishu route.
 
Wacha upumbavu! Kariakoo inahudumia wafanyabiashara wa Comoros, Zambia, Malawi, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kunyaland yenyewe!
Hii kienyeji type soko, imejaa mitumba kama Gikomba? 😂 😂 😂 😂 kwani unadhani Eastleigh inahudumia wakenya pekee.., fanya utafiti stop your blind patriotism., Kariokoo can't beat Eastleigh!
 
Eti huu ushuzi unapigwa picha ya upande upande zen unalinganishwa na jozi kamuongopee babaako co cc tunaoshinda mitandaoni. Dunia ya leo humuongopei mtu bro, haya niambie haya majengo mliyabomoa au? Na kama hamkuyabomoa kwnn mnayaficha alafu ndio mnalinganisha na jozi, mbn cc hatufichi kitu, narudia tena kamuongopee babaako View attachment 2292703View attachment 2292707
Huku kumekaa kama Dhaka, Bangladesh
 
Uhusiano mwema kati ya Kenya na Somalia umerudi. Kenya sasa itaruhusiwa kuexport miraa kelekea Somalia. KQ pia itaruhusiwa kuoperate Nairobi-Mogadishu route.
Kenya ni nchi ambayo kama familia yako haina connection na serikali au kabila lako sio famous basi ni ngumu sana kufanikiwa na kufanya mambo makubwa

Ni ukweli Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye sector nyingi ya afya ikiwemo, kwa uwekezaji huu wa vijana hawa wadogo kufanya uwekezaji mkubwa hata serikali yenu ya Kenya ni ngumu kufanya ni dhahiri Tanzania ni nchi ya kila Mwananchi na yenye fursa kedekede

Serikali yenu haiwezi kufanya kitu kama hiki ndio maana inafake data



Nicxie wahindi wengine hawa hapa 😅😅😅
 
Yaani unaweka Nairbi ya 90s, hakuna upperHill pale background, next to KICC hakuna parliament towers na CBK towers na bado unajikaza kulinganisha na Dar is slum ya 2020s..,ona downtown hivi sasa nyumba za waarabu
View attachment 2292713
View attachment 2292712

Nairobi ambayo hautaki.., without Ngara., bana nyie tulieni na Mombasa, nasio tafadhali, it's where u belong
View attachment 2292719
Tofautisha na hii ya 90s, tumepiga hatua kubwa kilaza, unaumia na kuteseka sana
View attachment 2292724
Magu alikuwa sio muumini wa real estate yeye alijali miundombinu na viwanda NHC ikapigwa stop kuwekeza kwenye miradi yake maana ilikaa 4 years without a board of directors kiufupi haikufanya kazi kabisa kipindi cha Magu na NHC ndio mwekezaji mkubwa wa real estate in Tanzania.

Sasa kipindi cha mama mbwa wamefunguliwa mungiki inabidi mkae chonjo real estate ya Dar ambayo iko $3bn more than Nairobi by 2025 itakuwa $7.5bn more than Naipori.
 
Back
Top Bottom