Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona unajitoa ufahamu.., ndio unaona maendeleo unadhani mmefika, bado mko na mwendo kilaza., ungefanya uchunguzi kabla ya kukurupuka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 2292492
View attachment 2292514
View attachment 2292516
View attachment 2292494
View attachment 2292495
View attachment 2292497
View attachment 2292498
Na Nilijua lazima ulete hii white elephant, tofauti na hii hakuna barabara mpya unayoweza kuleta zaidi ya zile already existing zinazofanyiwa maboresho na repair ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Kama una ubavu leta barabara nyingine independent yenye urefu wa hata kilometers 200 ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Mzee kariakoo ni financial district kwenye map ya TRA, eti apartments ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Kariakoo inaleta nchi zote za eastern, central and southern Africa kufanya manunuzi, Usilinganishe na ushuzi kunuka wa CBD yenu ambayo kazi yake ni kuratibu misaada ya chakula kutoka Saudi Arabia ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…



View attachment 2292493

Naijua Dar kilaza., nyumba za wahindi na waarabu kwa wingi..,
Muonekano wa a real 21st century city sio huo upuzi wenu 2nd tier city kama Mombasa tu..

Jozi na Nairobi.., Dar na Mombasa, jinyonge ama kalilie kwa choo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1657955319718.png

Jozi
1657955405146.png
 
Naijua Dar kilaza., nyumba za wahindi na waarabu kwa wingi..,
Muonekano wa a real 21st century city sio huo upuzi wenu 2nd tier city kama Mombasa tu..

Jozi na Nairobi.., Dar na Mombasa, jinyonge ama kalilie kwa choo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 2292536
Jozi
View attachment 2292537
Sasa unakataa kariakoo sio mkoa wa kikodi? Au

 
Unajiliwaza eti ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ lia kabisa, sisi sio wenzenu, nyie ufukara ni sura yenu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wacha nikuumize zaidi.., utanyooka
1657955569502.png

1657955769270.png

1657955607024.png

1657955634567.png

1657955646571.png

1657955676796.png

1657955719602.png

1657955796231.png
 
Unajiliwaza eti ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ lia kabisa, sisi sio wenzenu, nyie ufukara ni sura yenu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wacha nikuumize zaidi.., utanyooka
View attachment 2292539
View attachment 2292545
View attachment 2292540
View attachment 2292541
View attachment 2292542
View attachment 2292543
View attachment 2292544
View attachment 2292546
Nimekuambia niletee barabara mpya ya kilometers 200 usijifiche, Usiniletee hizo zinazofanyiwa expansion from single lane to dual carriageway, eti mmejenga 23k kilometers ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Na Nilijua lazima ulete hii white elephant, tofauti na hii hakuna barabara mpya unayoweza kuleta zaidi ya zile already existing zinazofanyiwa maboresho na repair ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Kama una ubavu leta barabara nyingine independent yenye urefu wa hata kilometers 200 ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Unatafuta pakutokea kilaza? jengeni barabara mfike level ya Kenya kisha uje., bado mnajenga kisha unaleta Kiswahili., TANROADS wako tu ukileta janja janja natumbua., ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Unatafuta pakutokea kilaza? jengeni barabara mfike level ya Kenya kisha uje., bado mnajenga kisha unaleta Kiswahili., TANROADS wako tu ukileta janja janja natumbua., ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Asante kwa kukubali hamna barabara mpya yenye urefu wa km 200 zaidi ya white elephant ya kuelekea Ethiopia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Eastleigh jalalani kwa msomali haiwezi kuichallenge CBD yenu kama kariakoo ilivyoifunika

View attachment 2292552
CBD ya Dar ni hii ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ hapa kilaza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Eastlands ni kubwa kuliko hii CBD na hizo appartments zenu unaita density two times.., so sio big deal..,
1657956258776.png


VS Nairobi Old CBD.. siweki akina Parklands, Kilimani, Westy ama UpperHill., just Old CBD inawanyorosha kikamilifu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1657956427046.png

1657956500885.png
 
CBD ya Dar ni hii ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ hapa kilaza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Eastlands ni kubwa kuliko hii CBD na hizo appartments zenu unaita density two times.., so sio big deal..,
View attachment 2292553

VS Nairobi Old CBD.. siweki akina Parklands, Kilimani, Westy ama UpperHill., just Old CBD inawanyorosha kikamilifu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 2292554
View attachment 2292555
Kwenye barabara ndio pamekushinda kabisa? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Uhuru mwenyewe ukimuambia akuoneshe hizo 23k kilometers alizojenga hawezi kukuonesha, kazi kuiba slogan za Tanzania ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…



Screenshot_20220716-092053.png
 
Tony254 mwenyewe alibwaga manyanga nilivyomuambia anioneshe kilometers uhuru alizojenga tofauti na white elephant ya kuelekea Ethiopia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Eti watu wanajitapa wamejenga kilometers 23k lakini ukimuambia akuoneshe kilometers 100 zipo wapi mnagombana ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Ila kama uhuru ni kuloga akili zenu kweli kawaloga
 
Kwenye barabara ndio pamekushinda kabisa? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Uhuru mwenyewe ukimuambia akuoneshe hizo 23k kilometers alizojenga hawezi kukuonesha, kazi kuiba slogan za Tanzania ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…



View attachment 2292558

Hapa nakuuliza swali, unajua hizo barabara nilipost Kila moja ni km ngapi kweli? Nilikuambia kabla ya kukurupuka fanya utafiti๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, we ain't your equals, vijisababu havibadilishi ukweli Kenya iko juu yenu in many fronts..,
 
Hapa nakuuliza swali, unajua hizo barabara nilipost Kila moja ni km ngapi kweli? Nilikuambia kabla ya kukurupuka fanya utafiti๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, we ain't your equals, vijisababu havibadilishi ukweli Kenya iko juu yenu in many fronts..,
Hiyo white elephant ya Lapsset ilianzishwa na kibaki na yote kwa pamoja hata kilometers 500 haina, imekamilika na Isiolo airport na lamu port lakini hakuna hata kimoja kinachotumiwa na muethiopia mliomjengea, vyote vinafugia popo na barabara wanapita ngamia tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Passout parade during graduation of the Administration police (AP )Special Forces.
The cohort is comprised three groups, the Special Recce Team (SRT), the Special Operations Group (SOG) as well as the Special Weapons and Tactics (SWAT).
15751838_fxomrsuyamodv0_jpeg_jpege30695f7c67d01f7ed4782f0c191afe3.jpeg
15751839_fxorpgbuyakhdxz_jpeg_jpeg7f74a87fcb8a42d79232a9a52b436f2c.jpeg
15751840_fxom40nuuael9sp_jpeg_jpeg8cba35d7033965407a3a38d28e401edc.jpeg
15751867_fxomhffucaa1hsj_jpeg_jpeg2164238e1e7f60c9d0c614f74a4e43be.jpeg
15751868_fxomopdvqaeqrrd_jpeg_jpeg0fcc23401e8961be8cd14eb511e91e23.jpeg
15751874_fxomepyvuauzko_jpeg_jpegc8a9d70d439e30a32f63446fbe79a4f6.jpeg
15751866_fxomxmiueaekhqj_jpeg_jpegc1ffc0e56bc606ceab696ce8417ec98d.jpeg
 
Hiyo white elephant ya Lapsset ilianzishwa na kibaki na yote kwa pamoja hata kilometers 500 haina, imekamilika na Isiolo airport na lamu port lakini hakuna hata kimoja kinachotumiwa na muethiopia mliomjengea, vyote vinafugia popo na barabara wanapita ngamia tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yaani wewe umeona moja tu ya Isiolo? Lappset road iko 90% complete., na ni moja kati ya nilizo post.., nilikuambia jengeni nchi, come we compare notes after 2025., kwa sasa unajitekenya tu ukicheka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., U are good for entertainment here, napenda unavyo jikaza kupingana na facts, lakini wapi, hadi raha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hapa nakuuliza swali, unajua hizo barabara nilipost Kila moja ni km ngapi kweli? Nilikuambia kabla ya kukurupuka fanya utafiti๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, we ain't your equals, vijisababu havibadilishi ukweli Kenya iko juu yenu in many fronts..,
Lapsset ilishakuwa white elephant way back in the drawing board ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

 
Yaani wewe umeona moja tu ya Isiolo? Lappset road iko 90% complete., na ni moja kati ya nikizo post.., nilikuambia jengeni nchi, come we compare notes after 2025., kwa sasa unajitekenya tu ukicheka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., U are good for entertainment here, napenda unavyo jikaza kupingana na facts, lakini wapi, hadi raha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kalilie twitter sasa, JF tumeshakusikia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

 
Lapsset ilishakuwa white elephant way back in the drawing board ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


Hiyo ni maoni na fikra za mtu, not reality, it might be a mere hypothesis, wachana na sisi tupanue nchi yetu kote kote, wale Kenyan Somali wanaoishi hayo maeneo ni watu wa kujituma sana, ni infrastructure walikua wamekosa, ngoja uone tutakapo kamilisha hizo barabara zote za Northern Kenya vile watachangamka, sio wazembe kama nyie.,
 
Back
Top Bottom