Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar ni Mombasa kabisaaa..,
1657898382466.png

1657898015762.png

1657898914109.png

1657897626956.png

1657898805351.png

1657897886676.png

1657898835244.png

1657898743904.png

1657898761486.png
 
Nairobi hakuna brt wala electric trains hata bus stations hakuna how can you compare it with well established metropolis kama Dar, Joberg, Cape Town miji ambayo vitu vyote hivyo vinapatikana.
Jikune kune sehemu flani tena 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Pretoria ina BRT,train ya speed 160km/hr, proper and well maintained roads,sizable population, high per capita, well planned inazidi hata Mumbai kaa kila angle sembuse Nairobi View attachment 2291524View attachment 2291525View attachment 2291526View attachment 2291527View attachment 2291528View attachment 2291529View attachment 2291530View attachment 2291531View attachment 2291532
Mambo yanaanza kuiva sasa, Northern vipi hapa mna utetezi gani, naendelea kuwazoom nikiwa na kikombe cha gahawa na hii baridi nasubiri burudani tu
 
Yaani in other words kwa wasio elewa kama wewe mnaambiwa nyie ni vilaza sana, na mnaonyeshwa jinsi mnavyo weza kuamka na kutumia rasilmali zenu ku impact Africa foodwise, muache uzembe., yaani mko na potential ila hamjitumi.,
Ilikuwa huko nyuma sasa hivi tumeamka, viongozi wetu wako na mipango mkakati kuinua kilimo chetu. Hatuwezi kuamka na kuanza kulima na hapo hapo tukavuna.

Ikifika mpaka 2025 hatujafanya kitu uje hapa utucheke
 
Tlikuwa huko nyuma sasa hivi tumeamka, viongozi wetu wako na mipango mkakati kuinua kilimo chetu. Hatuwezi kuamka na kuanza kulima na hapo hapo tukavuna.

Ikifika mpaka 2025 hatujafanya kitu uje hapa utucheke
Fair enough, Kila la heri., yaani odds zote are in your favour, mki fail shauri yenu.
 
Tony254 mimi nisionekane kama naongea matope,nimeweka evidence hizi,sasa hesabu mall zote zinazozidi 65k sqm alafu uniambie two river ingeshika namba ngap...
Wao wameweka kwa maeneo yao makubwa kama Johannesburg, Cape Town,Pretoria na Durban View attachment 2291637View attachment 2291638View attachment 2291639View attachment 2291640View attachment 2291641View attachment 2291642
Nisamehe sitarudia tena. Hiki kiboko ambacho umenichapa ni kizito sana. SA haistahili kuwa Afrika. Wao wako dunia nyingine kabisa.
Cc Sama boy 255
 
Skyline ni skyscrapers mjukuu, na hapa yanahesabika, very few, zimeshinda za Dar kidogo tu., lakini hazifikii Nairobi.., City ya CBD moja tu kama Dar, alafu uitaje sentensi moja na Nairobi, mjukuu hiyo si ni kichaa!!,
View attachment 2291564
View attachment 2291571
View attachment 2291568
View attachment 2291581
Wewe jamaa niaje unaleta picha za Addis hapa? Umechanganya za Nairobi na Addis!

Anyway, Nairobi ilikuwa bora miaka 5 iliyopita. Ila kwa sasa Dar Es Salaam ni moja ya majiji makubwa yenye maendeleo makubwa sana kuliko Nairobi. BRT phase II ikiisha itaongeza sana ubora wa Dar Es Salaam then BRT III inaanza soon. Kuna Barabara ya kisiasa ya Morogoro ni moja ya Barabara nzuri sana za kisiasa hapa Afrika Mashariki na upanuzi wa Barabara ya Kilwa kuanzia Mbagala kwenda Mkuranga.

Hivyo Nairobi haiwezi kushindana na Dar Es Salaam, Dar Es Salaam ni Next Level.
 
Back
Top Bottom