Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu
IMG_20180726_204202_266~2.JPG
16821133608_a5eaf76cdd_b~2.jpg


Dar 😂😂😂😂
images - 2022-06-27T202549.181.jpeg
IMG_20190718_142203.jpeg
 
Eti wanalinganisha skyline ya kisasa ya Addis vs skyline mapengo na bado ikapigwa lipstick

Ethiopia Tayari imewapumulia GDP, Kitu wanachokihusudu kuliko chochote , Addis ina Public transport ya maana, Mabus makubwa na Light rail, Wana rail ya Umeme pia, wana wanja la maana la Ndege. Airline yao ni Balaaa, Wale jamaa walikua na Fly over kabla hata ya 2005 Kuna siku nilisafiri miaka hiyo nilipita barabara ya Juu, Huku kwetu kusini tumeanza kuaziona miaka ya 2010s.
Angalia tu historia yao kwanza, sio wenzetu wale

IMG_0148.jpg
 
Hapo napinga. Nasema at least 30% ya urban dwellers wanaishi in poverty.
Mbona tuko sawa kwenye estimate au kwavile nilisema percent ndogo tuu ya urban dwellers live in poverty? Hata hiyo 30% ya urban dwellers who live in poverty ni fair estimate but statistically insignificant compared to the whole country data.
 
Let me bring your attention to freedom airline, headquartered at JKIA with a fleet size of 15 planes including Airbus
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    18.2 KB · Views: 11
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    18 KB · Views: 11
Jf wajuaji wengi sana, kuna msauzi pale nairaland ntakupa username yake uende upitie posts zake ndo utanielewa vizuri.

Huwa siendi kule Nairaland. Nairobery aliwahi kunialika niende kule but NO. Watu wengi ni wajinga na wanapenda ushabiki usio na msingi hivyo mabishano nao ni waste of time, one reason hata hapa sinaga muda wa mabishano na walio wengi.

Niambie, ni nini huyo Msouth anasema? Maana Wasouth wengi ni watu wa majigambo sana na hufikiri wao ni Alfa na Omega kwa kila kitu. Nieleze hapa kwa kifupi then nitakueleza mambo in details.
 
Ethiopia Tayari imewapumulia GDP, Kitu wanachokihusudu kuliko chochote , Addis ina Public transport ya maana, Mabus makubwa na Light rail, Wana rail ya Umeme pia, wana wanja la maana la Ndege. Airline yao ni Balaaa, Wale jamaa walikua na Fly over kabla hata ya 2005 Kuna siku nilisafiri miaka hiyo nilipita barabara ya Juu, Huku kwetu kusini tumeanza kuaziona miaka ya 2010s.
Angalia tu historia yao kwanza, sio wenzetu wale

View attachment 2291681
Wakunya GDP inawaongopea sn wanadhani Ethiopia ni level yao, wamepitwa GDP tayari washaanza kuiogopa
 
Ethiopia Tayari imewapumulia GDP, Kitu wanachokihusudu kuliko chochote , Addis ina Public transport ya maana, Mabus makubwa na Light rail, Wana rail ya Umeme pia, wana wanja la maana la Ndege. Airline yao ni Balaaa, Wale jamaa walikua na Fly over kabla hata ya 2005 Kuna siku nilisafiri miaka hiyo nilipita barabara ya Juu, Huku kwetu kusini tumeanza kuaziona miaka ya 2010s.
Angalia tu historia yao kwanza, sio wenzetu wale

View attachment 2291681
Hawa wahabeshi bado bado,angalia pop yao ni wengi sana ukilinganisha na gdp wanayozalisha,Kenya imewazidi kila kitu, Ethiopia hata Tz tumewazidi,sometimes GDP inapumbaza, Namibia imeendelea sana kuliko nchi yyte a.mashariki lakini kwakua gdp yao ni ndogo tunajiona tunawazidi
 
It is above Dar not Nairobi..,
Nairobi hakuna brt wala electric trains hata bus stations hakuna how can you compare it with well established metropolis kama Dar, Joberg, Cape Town miji ambayo vitu vyote hivyo vinapatikana.
 
Apo most of em are tenants ,Mimi naishi in my house a 4bedrooms, five washrooms in a half an acre plot .Nna bustani za mbogamboga,nna mbuzi kadhaa na kuku ,mi bonge la boss apo,hao wapuzi wengi wanastruggle hata kulipa kodi
Safi sana. Acha me niendelee kulima japo ngedere wa mama wanakula sana mahindi yangu shambani ipo siku yao nitawaleta Chamwino aishi nao, Alaah!!
 
Back
Top Bottom