Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

downloadfile-4.jpg
 






MY TAKE
Hivi GoT inafanya nini kwenye kuomba na ku-lobby hizi institutions kama CDC zi-establish headquarters Tanzania? Arusha au Dar (NIMR Headquarters in Dar and Ifakara Health Institute Bagamoyo) au Moshi (KIA ample land ca 110 sq km and Kilimanjaro Clinical Research Institute (KCRI) in proximity) mbona ni good location and can easily be accessible? Au upuuzi wa JPM kukataa corona na kutaka kila kitu kiende Chato bado unatu-hunt?








 






MY TAKE
Hivi GoT inafanya nini kwenye kuomba na ku-lobby hizi institutions kama CDC zi-establish headquarters Tanzania? Arusha au Dar (NIMR Headquarters in Dar and Ifakara Health Institute Bagamoyo) au Moshi (KIA ample land ca 110 sq km and Kilimanjaro Clinical Research Institute (KCRI) in proximity) mbona ni good location and can easily be accessible? Au upuuzi wa JPM kukataa corona na kutaka kila kitu kiende Chato bado unatu-hunt?








Kiongozi sisi tangu awali sio watu wakujipendekeza kwa mabeberu halafu historia yetu ya ujamaa inatuhukumu wazungu hawana imani na sisi kuanzia zamani maana wanajua sisi ni watu wa msimamo.

Huko nyuma tulishawahi kuvunja uhusiano na Israel, UK, South Korea na West Germany kisa kutaka kutuchagulia marafiki. Sasa wakikumbuka hizi historia na misimamo ya nchi wanaogopa mambo ya force majeure.
 
Last month nilikuwa Nairobi nikawaambia hawa mbuzi wa kibera na mathare kuwa EastLeigh ni kama choo cha primary kwa harufu kali,lakini wakasema eti ooh picha zangu ni outdated......sasa huyu ni mkenya anawaambia ukweli
Kunyan wanaojielewa na ambao washafika dar mbona wanakubali
 
Since you have a brain that reason I will reason with you intelligently. First thing first, what do you understand by the phrase "Access to electricity "
Read the third paragraph of the text you quoted
 
Back
Top Bottom