Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nchi ya GDP kubwa.. afu kama kawaida msiache kuangalia nature ya watu wao walivyo..(wako kihunihuni tu)..na mavazi na mazingira kiujumla.. afu kwann maboys wengi wa kikenya wanafuga/wanaweka nywele zao dreads
Hawa watu wamenyonywa sana na wanasiasa wao hadi wamepoteza matumaini ya maisha ndio maana unaona hali za nyuso zao zilivyo.
 
Mm nawapa kila la heri Wakenya kupambania nchi yao mwaka huu, yale yaliyotokea Sri Lanka yatokee Kenya mana hawawezi kukubali kikundi cha watu wachache kujimilikisha Kenya ilihali majority of Kenyans die of hunger.
Mwaka Juzi nilikua mara kwa mara nikiwaambia wakenya waingie barabarani Kama walivyofanya Sudan kwasababu hali ya maisha Kenya imeendelea kuzorota kila mwaka.

Huku Tanzania ukitaka kuwa tajiri, lazima ufanye biasha, kilimo, ivuvi au jambo lolote la kuuza bidhaa au huduma, Kenya ni tofauti, matajiri ni wanasiasa na viongozi, ujinga gani huo?
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
na hili linahitaji ramli 👇👇👇
7C2426C0-3643-4919-B424-B0524DFC7E88.jpeg
 
Hawa watu wamenyonywa sana na wanasiasa wao hadi wamepoteza matumaini ya maisha ndio maana unaona hali za nyuso zao zilivyo.
Nitawashangaa sn Wakenya this time kama hawatokinukisha, natumaini itakuwa zaidi ya Sri Lanka, serikali ya Kenya imewachezea Wakenya kwa muda mrefu sn, kwa pamoja tuseme inatosha, Wakenya ipiganieni nchi yenu hata ikiwezekana kwa machafuko ya Kimberly.

#okoa Kenya
#save Kenya
#say no embezzlement in Kenya.
 
Mwaka Juzi nilikua mara kwa mara nikiwaambia wakenya waingie barabarani Kama walivyofanya Sudan kwasababu hali ya maisha Kenya imeendelea kuzorota kila mwaka.

Huku Tanzania ukitaka kuwa tajiri, lazima ufanye biasha, kilimo, ivuvi au jambo lolote la kuuza bidhaa au huduma, Kenya ni tofauti, matajiri ni wanasiasa na viongozi, ujinga gani huo?
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nategemea wataelewa unachosema na hawatokubali this time lazima pachimbike.
 
Baada ya Ile kauli ya marekani kuishauri Tanzania 🇹🇿 kuhusu usalama,👇


 
Back
Top Bottom