Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza asante kwa kukubali kwamba kiswahili kilianzia kenya, ikija kwa ku- spread kiswahili siwezi pinga mchango wenu. Mimi personally huwezi nipata nikidharau mtu kisa hajui kuongea kizungu, hio ni slave mentality, nikiona mkenya mwenye hio tabia hua nasikitika sana.
Kiswahili kimeanzia Kenya alafu Wakenya hawakijui.

Hii ni sawa na kusema buses quality za Tz zinatengenezwa Kenya alafu Wakenya wanatumia lori na punda ndiyo buses zao.

Hii pia ni sawa na kusema best view ya mount Kilimanjaro ipo Kenya wkt watalii wanafurika Tz kuja kuiona worst view of mount Kilimanjaro.

Ni sawa pia na kusema ombaomba wa Tanzania wanaenda Kenya wakati Kenya ndio kitovu cha ombaomba duniani, yani utoe mpunga Dar ukauze Kyela Mbeya maajabu haya
 
na hii je
Hawa jamaa nilivyoona title ni pipeline nimeamini ni waongo sana . Waliweka street iko na rami wakasema pipeline imekua transformed kumbe waongo . Yaani ukiangalia hapo hata road iko hoehae . Yaani wakunya mnapenda sifa na uongo usio na maana sana . Kipindi cha teknolojia uongo hautakusidia chochote halafu wakunya wengine wanajua ukweli lakini wamemute. Kumbe Tony alisema kuna mengine mengi huko Nairobi yako hidden kumbe ni kweli . Hongereni kwa kua waongo
 
Hawa jamaa nilivyoona title ni pipeline nimeamini ni waongo sana . Waliweka street iko na rami wakasema pipeline imekua transformed kumbe waongo . Yaani ukiangalia hapo hata road iko hoehae . Yaani wakunya mnapenda sifa na uongo usio na maana sana . Kipindi cha teknolojia uongo hautakusidia chochote halafu wakunya wengine wanajua ukweli lakini wamemute. Kumbe Tony alisema kuna mengine mengi huko Nairobi yako hidden kumbe ni kweli . Hongereni kwa kua waongo
Ipo siku watakelana humu na mmoja wao ataamua kama mbwai mbwai ndipo utagundua Kenya ni zaidi ya uozo.
 
Pipeline inazidi kuwatesa
Screenshot_20211122-225514_1.jpg
images (19).jpeg
 
Hivi pipeline humu mlisema ishakarabatiwa sasa mbona leo nation wanaonyesha hali bado ni tête . Hivi kwa nini mnapenda kutupa uchafu hovyo wakunya?View attachment 2286666
Hizo picha zimekua online way before hio tarehe na zishaletwa hapa ndani na watanzania kwahio admin wahio page anatafuta engagement kwa wakenya ambao wengi hawajawai ziona hizo picha.
 
Hizo picha zimekua online way before hio tarehe na zishaletwa hapa ndani na watanzania kwahio admin wahio page anatafuta engagement kwa wakenya ambao wengi hawajawai ziona hizo picha.
Lete picha ya leo ya hilo eneo, mnaumizwa na mauchafu yaliyojazana kwenu na kuyatoa hamuwezi
 








Tony254 mnapaswa kulingana na hawa mnaowaita low class citizens kuiwajibisha serikali yenu, kwakweli nchi yenu ni miongoni mwa nchi zenye uongozi wa hovyo Sana hapa duniani, I saw this coming on this way many years back.
Don YF
Nicxie


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mm nawapa kila la heri Wakenya kupambania nchi yao mwaka huu, yale yaliyotokea Sri Lanka yatokee Kenya mana hawawezi kukubali kikundi cha watu wachache kujimilikisha Kenya ilihali majority of Kenyans die of hunger.
 
Back
Top Bottom