Mimi nafurahia demokrasia ya aina hii. Viongozi wakileta ujinga tunawang'atua kwa nguvu ya umati. Tunaingia ikulu kimabavu tunakunywa chai na kupumzika kwenye viti vya ikulu na kulala kwenye vitanda vya ikulu.Hawa jamaa waganda wakiona cjui watajisikiaje daaa na vile wamekaliwa na m7
Serikali za africa wanajesh wengi hamnazo watapiga risasi watu mpaka stoo zao ziishe....[emoji38][emoji38][emoji38]Mimi nafurahia demokrasia ya aina hii. Viongozi wakileta ujinga tunawang'atua kwa nguvu ya umati. Tunaingia ikulu kimabavu tunakunywa chai na kupumzika kwenye viti vya ikulu na kulala kwenye vitanda vya ikulu.
Alisema hawezi omba msaada west na atasaidiwa na Urusi akasahau kanuni za UchumiAmsaidiaje wakati kwake kwenyewe kunafuka moshi? Usikute amekimbilia US au nchi za mlengo wa US na UK.
Bob au sio?Unamuona au ni mimi pekee yangu?
View attachment 2286162
Endelea kuota unadhani mimi ni mzaliwa wa tzUlivyo andika tu unaonekana hujawahi kukanyanga Tz mpaka unachanganya kata,wilaya na mikoa sehemu moja.....Eti ngorongoro,serengeti,loliondo mara morogoro [emoji22][emoji22] Ongeza bidii ipo siku utafika tu maana ndio kimbilio kubwa wakenya kwa sasa
Maziwa gani na hawakunywangi maziwaRafiki upo sure maziwa itasaidia?
Paka?Unamuona au ni mimi pekee yangu?
View attachment 2286162
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha. Msimu huu wa baridi kujizuia kupigana miti haiwezekani. Miti inapigwa sana mwezi huu na watoto watazaliwa April mwaka ujao kwa wingi.
Hawa jamaa miamba kweli mtu analala kabisa kwenye state bed bila uoga na kutumia state bathroom [emoji119]Watu wa Sri Lanka ndio wamenifurahisha. Mtu kabisa anaoga kwa bafu ya Ikulu. Aiseeh.
View attachment 2286178View attachment 2286179View attachment 2286180View attachment 2286181
Ile tour van ya kula Bata ni bei gani per day?Mimi mwenyeji wa mikocheni b, wacha dar propaganda boy nimezunguka tz, dodoma,morogoro, tanga,arusha,loliondo, serengeti,ngorongoro,mpaka vijijini mimi si wewe mpuuzi wa kuokota mapicha [emoji1787][emoji1787]
Kwanza asante kwa kukubali kwamba kiswahili kilianzia kenya, ikija kwa ku- spread kiswahili siwezi pinga mchango wenu. Mimi personally huwezi nipata nikidharau mtu kisa hajui kuongea kizungu, hio ni slave mentality, nikiona mkenya mwenye hio tabia hua nasikitika sana.Kama Tanzania tungekuwa na fikra potofu za kusujudia lugha ya malkia badala ya kiswahili hii lugha ungekuta imeshajifia kitambo ila we made swahili our national language na tukawafundisha wapigania uhuru wa Southern Africa hii lugha na hata Uganda swahili ni military language na hii inatokana na engagement ya TPDF huko ila sasa ndio itaanza kuingia mtaani baada ya serikali kuridhia kiswahili kitumike nchini humo.
His intentions are well known ni wivu inamsumbuaHuyu ndio yule jamaa aliokota picha Google na kuzipost hapa eti yupo Nairobi? [emoji2][emoji2][emoji2]
ushaanza kulia sasa π€£π€£π€£No Danganyikan bank on Kenyan soil[emoji23][emoji382]
Gani , labda umenifananishaIle tour van ya kula Bata ni bei gani per day?
Wamenifurahisha sanaWatu wa Sri Lanka ndio wamenifurahisha. Mtu kabisa anaoga kwa bafu ya Ikulu. Aiseeh.
View attachment 2286178View attachment 2286179View attachment 2286180View attachment 2286181
Umetisha kamandanaomba niendelee [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
shukurani zote kwa iphone 12[emoji2][emoji2]
View attachment 2286364View attachment 2286365View attachment 2286366View attachment 2286367View attachment 2286368View attachment 2286369View attachment 2286371View attachment 2286372View attachment 2286373View attachment 2286374View attachment 2286375View attachment 2286377View attachment 2286378View attachment 2286379View attachment 2286380View attachment 2286381View attachment 2286382View attachment 2286383View attachment 2286384View attachment 2286385