Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,713
- 107,158
Hiyo ya nakuru ni plant ya kitambo saa hii wanajenga nyingine![]()
![]()
Comparing those to this how many oxygen tanks do u see?
Benjamin Mkapa Hospital
![]()
Bugando Hospital
![]()
![]()
KCMC Hospital
![]()
Mbeya Hospital![]()
![]()
Dah....hivi vitasa ni zaidi ya usabiki hivi ni matokeo ya mbanano wa kodi!
kwahiyo Wakunya ndo wanazungumza Kiswahili fasaha?Kawaida sana Maana watanzania wengi hawazungumzi Kiswahili fasaha. Lakini mtu mwenye title yake ni muhimu kuwa na ufasaha wa lugha.
Sijasema hivyo, hayo ni maneno yako. Nilichosema ni kuwa watanzania wengi hawazungumzi Kiswahili FASAHA. Lugha za makabila ya Tanzania pia zinachangia kupoteza ladha ya Kiswahili.kwahiyo Wakunya ndo wanazungumza Kiswahili fasaha?
Hiyo wengi umenyofoa huko nyuma ama?Sijasema hivyo, hayo ni maneno yako. Nilichosema ni kuwa watanzania wengi hawazungumzi Kiswahili FASAHA. Lugha za makabila ya Tanzania pia zinachangia kupoteza ladha ya Kiswahili.
Hii ni kawaida kwa mtu yeyote.. inatokeaga.. but mtu kama msomi kbl ya kupost kichwan kina kitu kinaitwa word consiousness unatakiwa uizingatie.. lkn sometimes unaweza ukawa na hio word consiousness bado akili automatically ikakusemesha uko sahihi, then ukapuuzia hata kuangalia hata mtandaoni kama iko sahihi au la.. mostimes, zingatieni ujumbe na si misspelling na kumjudge mtu vibaya.. unaweza ukajudge mtu vibaya, ila mwenzako life yake iko poa sana maradufu hata yako.. so tujifunze tutojudge mtu vibaya kwa namna yoyoteKawaida sana Maana watanzania wengi hawazungumzi Kiswahili fasaha. Lakini mtu mwenye title yake ni muhimu kuwa na ufasaha wa lugha.
Yes, nimenyofoa nyuma kwako.Hiyo wengi umenyofoa huko nyuma ama?
Hapo nimekuelewa R badala ya L inatoka huko Kanda ya Ziwa! Basi msiseme Watanzania wengi! Suala la Watanzania wengi linatoka wapi wakati kiidadi tupo zaidi ya milioni 63?Yes, nimenyofoa nyuma kwako.
Labda tuzungumze na statistics. Kabila kubwa zaidi Tanzania ni Wasukuma. Kuna wasukuma zaidi ya milioni kumi Tanzania. Nimekaa na Wasukuma muda mrefu kutambua Kiswahili chao sio fasaha. Sikiliza hotuba za Magufuli pia utatambua. Kwa hiyo “wengi” is justified!
Ni kweli ulichosema. Na Ndio Maana nikasema ni kawaida.Hii ni kawaida kwa mtu yeyote.. inatokeaga.. but mtu kama msomi kbl ya kupost kichwan kina kitu kinaitwa word consiousness unatakiwa uizingatie.. lkn sometimes unaweza ukawa na hio word consiousness bado akili automatically ikakusemesha uko sahihi, then ukapuuzia hata kuangalia hata mtandaoni kama iko sahihi au la.. mostimes, zingatieni ujumbe na si misspelling na kumjudge mtu vibaya.. unaweza ukajudge mtu vibaya, ila mwenzako life iko poa sana maradufu hata yako
Nashangaa kisa mtu ana PHd anakosolewa kisa misspellingNi kweli ulichosema. Na Ndio Maana nikasema ni kawaida.
jua heshima na umuhimu wa PhD kwanza, unless ni zile za mchongo kama za JPM!Nashangaa kisa mtu ana PHd anakosolewa kisa misspelling
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo wengi umenyofoa huko nyuma ama?