Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo ningependa kuwapeleka katika tour ya airports za tanzania kando na JNIA na Abeid karume. 🔨🔨
images (15).jpeg
images (14).jpeg
images (13).jpeg
images (12).jpeg
images (11).jpeg
images (10).jpeg
images (9).jpeg
images (8).jpeg
images (6).jpeg
 
Hii ndio Dodoma ambayo since 1974 imekua capital city ya tanzania. Wachana na vile vinyumba vya ma squatter The best 007 atakuja kuviweka akiisoma hii post yangu.

images (17).jpeg
images (20).jpeg
images (19).jpeg
images (18).jpeg
 
Sisi ndio taifa lenye international airport terminal nyingi kali kuliko taifa lolote hapa EA ..

JNIA
ABEID AMANI KARUME INTERNATIONAL AIRPORT
KIA
MWANZA NEW TERMINAL
kando ya JKIA ni airport gani yenye utaleta in comparison kwa airport za bongo.? Leta tucheke 😂😂😂 au unaweza nionyesha terminal ya airstrip Moja kutoka hapo kwenu ambayo ipo decent kukaribiana na hii.? 👇
Eqad-nkW8AAecdj.jpg
 
Tanzania beggars in Nairobi,sad
Danganyikan ombaomba wengi wana ugonjwa za utotoni kama vile polio ambayo inaleta ulemavu... kumaanisha watoto wa Tanzania maskini hawapati chanjo wakiwa wadogo sababu ya hali duni ya afya na ukosefu wa mahospitali Tanzania.
Kenya ni ngumu sana upate mtoto akiwa na polio sababu chanjo ni lazima.

Tanzania ni maskini katika nyanja zote za maisha iwe afya, elimu, barabara etc
 
Back
Top Bottom